Tuesday, October 23, 2012
F.D.A. Receives Death Reports Citing Popular Energy Drink.....
Five people may have died in recent years after drinking Monster Energy, a popular energy drink that is high in caffeine, according to incident reports recently released by the Food and Drug Administration.
The reports, like similar filings made with the F.D.A. in cases connected with drugs or medical devices, do not prove a link between Monster Energy and the deaths or health problems. The records were recently obtained under the Freedom of Information Act by the mother of a 14-year-old Maryland girl who died in December from a heart arrhythmia after drinking large cans of Monster Energy on two consecutive days.Last week, Wendy Crossland, the mother of that teenager, filed a lawsuit against Monster Beverages, a publicly traded company in Corona, Calif., that used to be known as Hansen Natural. The lawsuit charges that Monster failed to warn about the risks of its energy drinks; a spokeswoman for the company said last week that its products were safe and not the cause of the teenager’s death.
That spokeswoman, Judy Lin Sfetcu, added that Monster was “unaware of any fatality anywhere that has been caused by its drinks.”
In an interview, an F.D.A. spokeswoman, Shelly Burgess, said the agency had received reports of five deaths possibly linked to the drink as well as another report of a heart attack. The reports cover a period of 2004 to June of this year.
The reports do not make clear whether the incidents involved other factors, like alcohol or drugs. However, the number of reports that the F.D.A. receives about any product it regulates usually understates by a large degree the actual number of problems.
The release of the filings about Monster Energy may increase Congressional calls for greater regulation of the energy products industry. Monster Energy is among scores of energy drinks like Red Bull and Rock Star, and energy “shots” like 5-hour Energy, that companies are aggressively marketing to teenagers and young people.
In a statement, Ms. Burgess, the F.D. A. spokeswoman, said that it was the responsibility of energy drink manufacturers to investigate accusations of death or injuries associated with them. She said that the agency was still looking into the cases but had yet to establish a causal link between the deaths and the drink.
Monster Beverage makes a variety of energy drinks with names like Monster Rehab, Monster Assault and Monster Heavy Metal. Labels on the containers state that they are “not recommended” for some consumers, including children — a group that beverage producers define as those under 12 years — and people “sensitive” to caffeine.
Monster Energy did not immediately respond Monday to a request for comment on the F.D.A. filings.
Under current F.D.A. rules, companies do not need to disclose caffeine levels in their beverages and can choose to market them as drinks or as dietary supplements. Those various regulatory categories have differing labeling and ingredient rules.
While healthy adults can consume large quantities of caffeine from sources like coffee, tea and energy drinks, the drug, which acts as a stimulant, can pose risks to those with underlying conditions like heart disorders.
The type of 24-ounce can of Monster Energy that the Maryland teenager, Anais Fournier, drank contains 240 milligrams of caffeine, three times the amount found in an 8-ounce can of Red Bull and about 50 milligrams more than in the 20-ounce size of Red Bull.
The lawsuit filed last week on behalf of the teenager referred to autopsy and medical examiner reports that said she had died of “cardiac arrhythmia due to caffeine toxicity” that had exacerbated an existing heart problem.
A lawyer for her family, Kevin Goldberg, said that the 14-year-old had been aware she had an underlying condition but added that her doctors had not told her to restrict her physical activities or her caffeine use.
In an April letter citing the teenager’s death, Senator Richard J. Durbin, Democrat of Illinois, urged the F.D.A. to enforce caffeine levels in energy drinks.
In August, F.D.A. officials responded by saying that there was insufficient evidence to take action on caffeine levels in energy drinks. However, the agency also noted then that it had not yet received medical reports related to the Maryland teenager’s death.By BARRY MEIER | New York Times – 13 hours ago powered by MALETHO SON...BLOGSPOT.
Monday, October 22, 2012
AM BACK NOW TO KEEP YOU UPDATE........MA FANS!!!!
i waz biz wit working staffs visafari vya hapa na pale but nw am back i knw you mis me ma news,informative and otherz....but all in all am back.....get ready for hot newz......yereeeeeeeeeee!
Pembe za ndovu kutoka Dar zanaswa Hong Kong......
MAOFISA Forodha wa Hong Kong wamekamata kontena mbili za pembe za ndovu zenye thamani Dola za Marekani 3.4 milioni (wastani wa Sh5.4 bilioni), zinazodaiwa kupelekwa huko zikitokea Tanzania na Kenya.
Pembe hizo, vipande 1,209 vyenye uzito wa tani nne, zilikamatwa juzi nchini humo zikiwa kwenye kontena mbili ambazo ziliwekwa alama kuwa zimebeba plastiki chakavu na maharagwe aina ya roscoco.
Waziri wa Maliasili na Utalii, Balozi Khamis Kagasheki akizungumza na gazeti dada la Mwananchi (The Citizen), alisema amepata taarifa za kukamatwa kwa pembe hizo na atatoa maelezo baadaye.
“Nimepata taarifa, lakini siwezi kuzungumzia hilo sasa hivi kwa kuwa tuko katika mchakato wa kuuza akiba ya pembe za ndovu tulizonazo.”
Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Wanyamapori, Paul Sarakikya alisema hana taarifa kuhusu kukamatwa kwa pembe hizo na kuahidi kufuatilia.
“Hatujapata hizo taarifa, kwani wewe umezipata wapi? Gazeti gani hapa Tanzania limeandika habari hizo! Kama hazijaandikwa, ndiyo kwanza wewe unanipa taarifa, hivyo tutafuatilia,” alisema na kuongeza kuwa watawasiliana na Idara ya Polisi wa Kimataifa (Interpol), ili waweze kujua undani wa suala hilo.
Taarifa kutoka Hong Kong zinasema hiyo ni mara ya kwanza kwa kiasi kikubwa kama hicho cha pembe za ndovu kukamatwa nchini humo zikiwa zimefichwa ndani ya mabegi yaliyokuwa na plastiki chakavu pamoja na maharagwe.
Kugundulika kwa pembe hizo imeelezwa kulitokana na taarifa zilizotolewa na maofisa wa Serikali ya China kwa maofisa forodha wa Hong Kong.
Kutokana na tukio hilo, Serikali ya China imewakamata watu saba akiwamo mkazi mmoja wa Hong Kong kuhusiana na pembe hizo.
Kukamatwa kwa pembe hizo kumekuja wakati Serikali ikiwa imeomba upya kwa Umoja wa Mataifa, kuuza akiba yake ya pembe za ndovu zilizotaifishwa ili kupata fedha za kuimarisha ulinzi, kwa lengo la kumaliza tatizo la ujangili.
Ripoti zinaeleza kuwa idadi ya tembo katika Bara la Afrika imepungua kutoka mamilioni katikati ya karne ya 20 hadi kufikia 600,000 mwishoni mwa miaka ya 1980.
Biashara haramu ya pembe za ndovu imetokana na mahitaji makubwa kutoka Bara la Asia na nchi za Mashariki ya Kati, ikidaiwa kuwa hutumika kutengeneza dawa za asili. Bara la Afrika linakadiriwa kuwa na tembo 472,000.
Pembe hizo, vipande 1,209 vyenye uzito wa tani nne, zilikamatwa juzi nchini humo zikiwa kwenye kontena mbili ambazo ziliwekwa alama kuwa zimebeba plastiki chakavu na maharagwe aina ya roscoco.
Waziri wa Maliasili na Utalii, Balozi Khamis Kagasheki akizungumza na gazeti dada la Mwananchi (The Citizen), alisema amepata taarifa za kukamatwa kwa pembe hizo na atatoa maelezo baadaye.
“Nimepata taarifa, lakini siwezi kuzungumzia hilo sasa hivi kwa kuwa tuko katika mchakato wa kuuza akiba ya pembe za ndovu tulizonazo.”
Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Wanyamapori, Paul Sarakikya alisema hana taarifa kuhusu kukamatwa kwa pembe hizo na kuahidi kufuatilia.
“Hatujapata hizo taarifa, kwani wewe umezipata wapi? Gazeti gani hapa Tanzania limeandika habari hizo! Kama hazijaandikwa, ndiyo kwanza wewe unanipa taarifa, hivyo tutafuatilia,” alisema na kuongeza kuwa watawasiliana na Idara ya Polisi wa Kimataifa (Interpol), ili waweze kujua undani wa suala hilo.
Taarifa kutoka Hong Kong zinasema hiyo ni mara ya kwanza kwa kiasi kikubwa kama hicho cha pembe za ndovu kukamatwa nchini humo zikiwa zimefichwa ndani ya mabegi yaliyokuwa na plastiki chakavu pamoja na maharagwe.
Kugundulika kwa pembe hizo imeelezwa kulitokana na taarifa zilizotolewa na maofisa wa Serikali ya China kwa maofisa forodha wa Hong Kong.
Kutokana na tukio hilo, Serikali ya China imewakamata watu saba akiwamo mkazi mmoja wa Hong Kong kuhusiana na pembe hizo.
Kukamatwa kwa pembe hizo kumekuja wakati Serikali ikiwa imeomba upya kwa Umoja wa Mataifa, kuuza akiba yake ya pembe za ndovu zilizotaifishwa ili kupata fedha za kuimarisha ulinzi, kwa lengo la kumaliza tatizo la ujangili.
Ripoti zinaeleza kuwa idadi ya tembo katika Bara la Afrika imepungua kutoka mamilioni katikati ya karne ya 20 hadi kufikia 600,000 mwishoni mwa miaka ya 1980.
Biashara haramu ya pembe za ndovu imetokana na mahitaji makubwa kutoka Bara la Asia na nchi za Mashariki ya Kati, ikidaiwa kuwa hutumika kutengeneza dawa za asili. Bara la Afrika linakadiriwa kuwa na tembo 472,000.
Wednesday, September 12, 2012
IFWA part.......
APART WICH WILL BASE FOR SHARING IDES,FASHION,BIZNESS,SUPPORT,JOB SICKER AND OTHER MORE.its starter on 2012 by WAKUNGARAA C.O innocent maletho.The long term of word IFWA is INSIDE FIND WHAT U WANT(IFWA)so soon iwill open the link abt this for many people to login and share this is aim to an able youth to connect each other easy and for reason of develop ment put ur comment down then next time open the link iwill rich to another steps..KWAN WALE WANANN SS TUSHINDWE KWANNN???C YA
Saturday, August 25, 2012
Barack Obama Ana Kiwanda Cha Bia ndani ya White House......
Kuongoza nchi kubwa kama Marekani yataka moyo! Ndio maana Barack Obama aliamua kuwa na kiwanda cha bia kwenye ikulu ya White House ili kupunguza stress za cheo hicho kikubwa duniani. Isitoshe kipindi hiki ni kigumu kwake kwakuwa anaelekea kwenye uchaguzi, so kupiga mtungi si jambo la kushangaza kwake.
Amekuwa rais wa kwanza wa hivi karibuni nchini Marekani kunywa bia inayotengezwa kwenye Ikulu.
Bia inayotengenezwa humo imepewa jina la ‘White House Honey Ale’ ikiwa na rangi mbalimbali.
Asali kidogo inayopatikana kwenye bia hiyo inatoka kwenye mizinga ya nyuki anayofuga mkewe Michelle Obama kwenye bustani yao.............
Asali kidogo inayopatikana kwenye bia hiyo inatoka kwenye mizinga ya nyuki anayofuga mkewe Michelle Obama kwenye bustani yao.............
Facebook will disappear in the future....
Arcording to the expert's prediction, Facebook will be disappeared in next 5 to8 years . This information make the users in the internet tumult and worry in the recent weeks. However, the experts are not really shocked if it will happen reality.
Eric Jackson, founder of Ironfire Capital, said that in 5 to 8 years, Facebook will be disappeared in a way similar to Yahoo disappear. " Whether Yahoo is still making money, still profitable, still has 13 thousand employees working for them but they were only 10% in profit compared with their highest profit in 2000. That means unsuccessful and disappear
Jackson noted that, until this moment, the world has developed three generations of Internet companies. The first is Yahoo, a Web portal. This is a great example as a pioneer in the online field.Facebook then as the second generation with the wave of social media. The third generation is the world's mobile phone.
One of the problems for Facebook as the company can not make money from growing base of mobile phones. According to Jackson, Facebook will face challenges when moving into the mobile phone market like Google faced difficulties entering the field of social networks.
On the other side, predicted a collapse on Facebook comes just weeks after social networks have trouble with the IPO shares. Many financial analysts said that the company introduce the shares in the market was too high and it can never turn back to the first price.
Dan Olds, an analyst at consulting Gabriel Consulting Group agree with the views of Jackson, mobile phones will serve as increasingly important for any Internet company would, especially social networks . However, he believes too early to say Facebook will be thrown away of the mobile phone market.
Dan Olds said "Facebook is progressing slowly in the field of mobile phones. Most users see Facebook interface for mobile phone hardly to see. However, Facebook recently redesigned interface for mobile phones to view images more easily. But Facebook also needs to build a mobile business model so we can improve to attract advertisers.
Brad Shimmin, an analyst at CurrentAnalysis, agree with the view that, mobile phone is important, the foundation can help Facebook prosper and Facebook can also shield fall
Eric Jackson, founder of Ironfire Capital, said that in 5 to 8 years, Facebook will be disappeared in a way similar to Yahoo disappear. " Whether Yahoo is still making money, still profitable, still has 13 thousand employees working for them but they were only 10% in profit compared with their highest profit in 2000. That means unsuccessful and disappear
Jackson noted that, until this moment, the world has developed three generations of Internet companies. The first is Yahoo, a Web portal. This is a great example as a pioneer in the online field.Facebook then as the second generation with the wave of social media. The third generation is the world's mobile phone.
One of the problems for Facebook as the company can not make money from growing base of mobile phones. According to Jackson, Facebook will face challenges when moving into the mobile phone market like Google faced difficulties entering the field of social networks.
On the other side, predicted a collapse on Facebook comes just weeks after social networks have trouble with the IPO shares. Many financial analysts said that the company introduce the shares in the market was too high and it can never turn back to the first price.
Dan Olds, an analyst at consulting Gabriel Consulting Group agree with the views of Jackson, mobile phones will serve as increasingly important for any Internet company would, especially social networks . However, he believes too early to say Facebook will be thrown away of the mobile phone market.
Dan Olds said "Facebook is progressing slowly in the field of mobile phones. Most users see Facebook interface for mobile phone hardly to see. However, Facebook recently redesigned interface for mobile phones to view images more easily. But Facebook also needs to build a mobile business model so we can improve to attract advertisers.
Brad Shimmin, an analyst at CurrentAnalysis, agree with the view that, mobile phone is important, the foundation can help Facebook prosper and Facebook can also shield fall
Moshi Ufundi: Sekondari iliyogeuka kuwa magofu....(MOSH TECH)
HAINA CHOO, BAFU, WANAFUNZI WAJISAIDIA VICHAKANI.....
Kijana akipiga mswaki eneo la shule ya Sekondari ya Ufundi Moshi iliyopo Manispaa ya Moshi Mkoani Kilimanjaro.
SHULE ya Sekondari ya Ufundi Moshi iliyopo Manispaa ya Moshi Mkoani Kilimanjaro ni miongoni mwa shule za Serikali iliyokuwa ikifanya vizuri kwa kutoa wasomi wengi miongoni wapo serikalini na taasisi binafsi.
Ilianzishwa mwaka 1957 ikiwa kama shule ya masomo ya biashara na ilipofikia mwaka 1967 ilibadilishwa na kuwa shule ya sekondari ya ufundi kuanzia kidato cha kwanza hadi cha nne.
Kwenye miaka ya 1970 na 1980, ilikuwa na mazingira nadhifu kwa kuwa na majengo ya mabweni na vyumba vizuri vya kusomea. hali hiyo pia ilikuwa ikiandamana na matokeo mazuri kwa wanafunzi wengi.
Leo hii ukichunguza mazingira yake yalivyo ukalinganisha na hali na hadhi iliyokuwa nayo miaka 30 iliyopita waweza kupata wazo ambalo linawiana na msemo wa Kiswahili usemao: "Ngoma ikivuma sana mwisho wake hupasuka."
Sasa iko katika hali mbaya kiasi kwamba hata wanafunzi hawawezi kuingia msalani kutokana na miundombinu ya shule hiyo kuwa mibovu kupita kiasi.
Leo hii wanafunzi waalazimika kutumia choo kilichojenga mwaka juzi kwa ajili ya walemavu chenye matundu matatu ambacho kinatumiwa na wanafunzi wa kidato cha kwanza hadi cha sita.
Mmoja wa wanafunzi wa shule hiyo anasema vyoo na bafu vilijengwa tangu shule ilipoanzishwa na vimekuwa havifanyiwi ukarabati wala kujengwa vipya jambo ambalo limesababisha kuchakaa kiasi kwamba havifai kutumika.
Ukiingia baadhi utaona kuta zimoka sakavu imeharibika na vingi vinatiririsha maji machafu pembeni nu kusababisha vigeuke kuwa mazalia ya nzi, mende na wadudu wengine wanaotambaa.
Anasema wanafunzi wanashindwa kuvitumia vyoo hivyo mchana na mara nyingine wanajikuta wakilazimika kwenda kijisaidia kwenye vichaka karibu na shule hiyo.
Kutokuwa na maeneo ya kujisetiri faraga wakati wa kuoga, kumekuwa kukiwafanya wasubiri usiku wa giza ambao siyo rahisi kuonekana wao kwa wao au wapitanjia.
Alisema kufuatia uchakavu wa majengo, baadhi ya mabati yaliyoezekea majengo hayo yametoboka na wakati wa mvua yanavuja na hata kusababisha dari kuchakaa na mara kadhaa vipande vyake vimekuwa vikiwadondokea.
“Yaani hii shule iko katika hali mbaya kiasi kwamba hata sisi tunaosoma hapa tunaona tuko kama tunasomeshwa bure kumbe tunalipa ada na wazazi wanajua tuko katika shule nzuri. Kumbe mazingira haya ni mabaya," anasema mawafunzi huyo.
Uchakavu wa shule hiyo ipo hadi kwenye miundo mbinu ya usambazaji wa umeme na sasa majengo mengi hayana umeme jambo linalowalazimisha wanafunzi kutumia mishumaa wakati wa kusoma.
Licha ya uchakavu huo, wanafunzi wanalalamika kwamba wanafunzi wanaosajiliwa kila mwaka ni wengi kuliko uwezo wake.
“Kwa kweli! Kiwango cha elimu hapa shuleni kinashuka kutokana na mfumo wa shule ulivyo waalimu hawajali ni sawa na kwamba hawathamini kazi zao na mazingira wanayofanyia," anasema mmoja.
Anatoa mfano wa darasa lake kuwa lina wanafunsi zaidi ya 100 wakati uwezo wake halisi ni kati ya 45 hadi 50.
Anasema wakati mwalimu anafundisha, baadhi ya wanafunzi hushindwa kuingia darasani na kubakia kusikiliza wakiwa nje jambo ambalo linapunguza usikivu wa umakini.
“Wanafunzi wengi hawaingii darasani kwa kuwa unakuta hakuna sehemu ya kukaa wakiingia wengine wanakuwa wanazunguka tu na wala walimu hawasemi chochote,” analalamika mwanafunzi huyo.
Tatizo jingine ni shule hiyo kutokuwa na vifaa vya kufundishia wanafunzi walemavu, jambo ambalo linawapa shida kuendana na mazingira halisi ya ufundishaji hivyo kushindwa kupata elimu iliyokusudiwa.
Wanafunzi hao walisema walemavu walioko shuleni hapo hawatendewi haki kwa kuwa wanachanganywa na wanafunzi wakawaida bila kujali ni mlemavu wa aina gani.
“Hapa shuleni tuna walemavu ambao hawana uwezo wa kusikia sauti na wengine wasioona na vipofu na huwa tunachanganywa nao madarasani hawana waalimu wa kuwafundisha na unakuta hata hawaelewi chochote.” alisema.
Alisema baadhi ya waalimu hawaingii kufundisha darasani na pale wakijisikia na pale tunapohoji wanafunzi wanafukuzwa shule kwa kuwa hivi karibuni kuna baadhi ya viranja pamoja na wanafunzi ambao walihoji kuhusu ufundishaji na wote walifukuzwa.
Alisema wanafunzi wengi wamekuwa wanahofia kuzungumza hadharani matatizo ya shule hiyo kwa hofu ya kufukuzwa shule.
“Pamoja na ubovu wa vyoo, madarasa na mabafu hatuthubutu kulalamika kwa kuwa hofu ni kupatiwa barua ya kufukuzwa shule,” alilalamika.
Anadai kuna wanafunzi waliwahi kufukuzwa shule kutokana na kitendo cha kuhoji ratibu ya vyakula kwa sababu wanafunzi wamekuwa wakipikiwa Ugaki na maharage kila siku.
Anasema wanahofia maisha yao wakati wakiwa wamelala kutokana na bweni la wasichana kubomoka na wote kuhamia gorofa ya kwanza ambapo wanalazimika kulaa wanafunzi wanane hadi 10 katika chumba kimoja ambacho kina uwezo wa kulaza wanafunzi wanne.
Anaema gorofa ya juu ya jengo wanalolala limebomoka na hata ngazi zimevunjika kiasi kwamba ni hatari katika maisha yao.
“Tumelalamika kwenye uongozi wa mara kadhaa bila mafanikio,: lialaliachochote na ndio shule tuliopangiwa tukifikiria wengine wazazi wetu hawana uwezo wa kutuhamisha kwenda shle nyingine inatubidi tuvumilie shida hizi,” anasema.
Kwa upande wake mkuu wa shule hiyo Maddy Kisuu, alikiri shule hiyo kukabiliwa na changamoto mbalimbali zikiwemo za uchakavu wa majengo, miundo mbinu na kushuka kiwango cha taaluma.
Kisuu anasema hali hiyo imechangiwa na Serikali kuongeza idadi ya wanafunzi wanaojiunga na shule hiyo huko miundombinu ya majengo ikiwa ni ile ile.
Anasema shule hiyo yenye wanafunzi 1,476 ina waalimu 17 na kusababisha kiwango cha elimu kushuka kupita kiasi kutokana na upungufu wa walimu.
Mkuu huyo anasema shule hiyo pia ina wanafunzi wenye matatizo ya kusikia 100 lakini ina walimu 5 kwa ajili yao jambo ambalo halitoshelezi kukidhi matakwa yao kikamilifu.
Anasema shule hiyo ni miongoni mwa zile zilizokuwa zikitoa wataalamu mbalimbali wa ufundi nchini lakini kwa sasa kiwango cha elimu kimeshuka kutokana na kukoza mazoezi kwa vitendo.
Katika kuthitisha hilo, anasema rekodi ya matokeo ya mithani wa kidato cha nne mwake 2007 yanaonyesha wanafunzi waliofaulu kwa daraja la kwanza 60 kati wanafunzi 230. Katika mwaka 2009 wanafunzi 14 tu kati ya 117 ndio waliofauli daraja la kwanza na na mwaka 2011 wanafunzi 29 kati ya 153 ndio walofaulu kwa daraja la kwanza.
Kwa matokeo ya kidato cha sita 2006 /2007 wanafunzi saba kati ya 152 ndio walifaulu kwa daraja la kwanza na 2007 /2008 hakukua na aliyefaulu kwa daraja la kwanza kati ya wanafunzi 101 na mwaka 2010/2011
waliofaulu kwa daraja la kwanza walikuwa tisa kati ya 151 na 2011/2012 wanafunzi wawili kati ya 183 ndio walifaulu kwa daraja la kwanza.
Kwa upande wa walemavu, hakuna aliyeweza kufaulu kwa miaka mitatu mfululizo iliyopita.
Subscribe to:
Posts (Atom)






