Saturday, November 17, 2012

Kumbe Hii Ndio Sababu ya Hussein Machozi kuhamia Kenya

Msanii mahiri wa Bongo Fleva almaarufu kama Hussein Machozi baada ya kutamba na ngoma zake kadhaa kali kama Addicted,Mizimu,Kwa ajili yako na ngoma zingine kali sasa Latest info kutoka kwa msanii huyu ni kwamba baada ya kufanya ngoma ya mpya ambayo ilikuwa inakwenda kwa jina la Addicted huko kenya sasa ameamua kufunguka na kuweka wazi sababu ambazo zimemfanya mpaka aanze kufanya kazi zake nchini kenya,alieleza kwamba kwanza nchini Kenya kwa wiki anapata show mara tatu pia kule muziki wake unalipa sana kushinda huku bongo na ndiyo maana ameamua kufanya kazi zake nchini kenya

No comments:

Post a Comment