Saturday, November 17, 2012

Kumbe Hii Ndio Sababu ya Hussein Machozi kuhamia Kenya

Msanii mahiri wa Bongo Fleva almaarufu kama Hussein Machozi baada ya kutamba na ngoma zake kadhaa kali kama Addicted,Mizimu,Kwa ajili yako na ngoma zingine kali sasa Latest info kutoka kwa msanii huyu ni kwamba baada ya kufanya ngoma ya mpya ambayo ilikuwa inakwenda kwa jina la Addicted huko kenya sasa ameamua kufunguka na kuweka wazi sababu ambazo zimemfanya mpaka aanze kufanya kazi zake nchini kenya,alieleza kwamba kwanza nchini Kenya kwa wiki anapata show mara tatu pia kule muziki wake unalipa sana kushinda huku bongo na ndiyo maana ameamua kufanya kazi zake nchini kenya

Sunday, November 4, 2012

THE BEST AGE TO BE SINGLE AND DATING.......

The single best decade for dating is...

Think it’s scary and miserable to be an older dater? Think again.

Conventional wisdom holds that dating success and enjoyment are like the contents of a milk carton, because they come with an expiration date. But recent research indicates that older daters are also the happiest daters — a surprise, no doubt, to those in their twenties who think that romance is solely for the young. As it turns out, the “young at heart” have it going on much more than anyone previously realized.

 According to a recent study from Match.com, older singles report feeling the greatest level of happiness combined with the least amount of stress over their relationship status. So, you can relax about being single and/or dating after a certain age, because your love life down the road could be much better than you expect. Of course, that’s not to say that people in different age groups want the same things in a match; after all, everyone’s life stages are distinct, and what we want and need at 20 differs radically (for the most part) from what we want when we’re 60.If you need to be single you can Browse Local Singles at Match.com on Yahoo!


UJANA MAJI YA MOTO....BE SINGLE.......FANYA MAMBO YAKO JIJENGE THEN BE IN DATING......WAZURI HAWAISHIIII

Tuesday, October 23, 2012

F.D.A. Receives Death Reports Citing Popular Energy Drink.....

Five people may have died in recent years after drinking Monster Energy, a popular energy drink that is high in caffeine, according to incident reports recently released by the Food and Drug Administration. The reports, like similar filings made with the F.D.A. in cases connected with drugs or medical devices, do not prove a link between Monster Energy and the deaths or health problems. The records were recently obtained under the Freedom of Information Act by the mother of a 14-year-old Maryland girl who died in December from a heart arrhythmia after drinking large cans of Monster Energy on two consecutive days.Last week, Wendy Crossland, the mother of that teenager, filed a lawsuit against Monster Beverages, a publicly traded company in Corona, Calif., that used to be known as Hansen Natural. The lawsuit charges that Monster failed to warn about the risks of its energy drinks; a spokeswoman for the company said last week that its products were safe and not the cause of the teenager’s death. That spokeswoman, Judy Lin Sfetcu, added that Monster was “unaware of any fatality anywhere that has been caused by its drinks.” In an interview, an F.D.A. spokeswoman, Shelly Burgess, said the agency had received reports of five deaths possibly linked to the drink as well as another report of a heart attack. The reports cover a period of 2004 to June of this year. The reports do not make clear whether the incidents involved other factors, like alcohol or drugs. However, the number of reports that the F.D.A. receives about any product it regulates usually understates by a large degree the actual number of problems. The release of the filings about Monster Energy may increase Congressional calls for greater regulation of the energy products industry. Monster Energy is among scores of energy drinks like Red Bull and Rock Star, and energy “shots” like 5-hour Energy, that companies are aggressively marketing to teenagers and young people. In a statement, Ms. Burgess, the F.D. A. spokeswoman, said that it was the responsibility of energy drink manufacturers to investigate accusations of death or injuries associated with them. She said that the agency was still looking into the cases but had yet to establish a causal link between the deaths and the drink. Monster Beverage makes a variety of energy drinks with names like Monster Rehab, Monster Assault and Monster Heavy Metal. Labels on the containers state that they are “not recommended” for some consumers, including children — a group that beverage producers define as those under 12 years — and people “sensitive” to caffeine. Monster Energy did not immediately respond Monday to a request for comment on the F.D.A. filings. Under current F.D.A. rules, companies do not need to disclose caffeine levels in their beverages and can choose to market them as drinks or as dietary supplements. Those various regulatory categories have differing labeling and ingredient rules. While healthy adults can consume large quantities of caffeine from sources like coffee, tea and energy drinks, the drug, which acts as a stimulant, can pose risks to those with underlying conditions like heart disorders. The type of 24-ounce can of Monster Energy that the Maryland teenager, Anais Fournier, drank contains 240 milligrams of caffeine, three times the amount found in an 8-ounce can of Red Bull and about 50 milligrams more than in the 20-ounce size of Red Bull. The lawsuit filed last week on behalf of the teenager referred to autopsy and medical examiner reports that said she had died of “cardiac arrhythmia due to caffeine toxicity” that had exacerbated an existing heart problem. A lawyer for her family, Kevin Goldberg, said that the 14-year-old had been aware she had an underlying condition but added that her doctors had not told her to restrict her physical activities or her caffeine use. In an April letter citing the teenager’s death, Senator Richard J. Durbin, Democrat of Illinois, urged the F.D.A. to enforce caffeine levels in energy drinks. In August, F.D.A. officials responded by saying that there was insufficient evidence to take action on caffeine levels in energy drinks. However, the agency also noted then that it had not yet received medical reports related to the Maryland teenager’s death.By BARRY MEIER | New York Times – 13 hours ago powered by MALETHO SON...BLOGSPOT.

Monday, October 22, 2012

AM BACK NOW TO KEEP YOU UPDATE........MA FANS!!!!

i waz biz wit working staffs visafari vya hapa na pale but nw am back i knw you mis me ma news,informative and otherz....but all in all am back.....get ready for hot newz......yereeeeeeeeeee!

Pembe za ndovu kutoka Dar zanaswa Hong Kong......

MAOFISA Forodha wa Hong Kong wamekamata kontena mbili za pembe za ndovu zenye thamani Dola za Marekani 3.4 milioni (wastani wa Sh5.4 bilioni), zinazodaiwa kupelekwa huko zikitokea Tanzania na Kenya.

Pembe hizo, vipande 1,209 vyenye uzito wa tani nne, zilikamatwa juzi nchini humo zikiwa kwenye kontena mbili ambazo ziliwekwa alama kuwa zimebeba plastiki chakavu na maharagwe aina ya roscoco.

Waziri wa Maliasili na Utalii, Balozi Khamis Kagasheki akizungumza na gazeti dada la Mwananchi (The Citizen), alisema amepata taarifa za kukamatwa kwa pembe hizo na atatoa maelezo baadaye.

“Nimepata taarifa, lakini siwezi kuzungumzia hilo sasa hivi kwa kuwa tuko katika mchakato wa kuuza akiba ya pembe za ndovu tulizonazo.”

Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Wanyamapori, Paul Sarakikya alisema hana taarifa kuhusu kukamatwa kwa pembe hizo na kuahidi kufuatilia.

“Hatujapata hizo taarifa, kwani wewe umezipata wapi? Gazeti gani hapa Tanzania limeandika habari hizo! Kama hazijaandikwa, ndiyo kwanza wewe unanipa taarifa, hivyo tutafuatilia,” alisema na kuongeza kuwa watawasiliana na Idara ya Polisi wa Kimataifa (Interpol), ili waweze kujua undani wa suala hilo.

Taarifa kutoka Hong Kong zinasema hiyo ni mara ya kwanza kwa kiasi kikubwa kama hicho cha pembe za ndovu kukamatwa nchini humo zikiwa zimefichwa ndani ya mabegi yaliyokuwa na plastiki chakavu pamoja na maharagwe.
Kugundulika kwa pembe hizo imeelezwa kulitokana na taarifa zilizotolewa na maofisa wa Serikali ya China kwa maofisa forodha wa Hong Kong.

Kutokana na tukio hilo, Serikali ya China imewakamata watu saba akiwamo mkazi mmoja wa Hong Kong kuhusiana na pembe hizo.

Kukamatwa kwa pembe hizo kumekuja wakati Serikali ikiwa imeomba upya kwa Umoja wa Mataifa, kuuza akiba yake ya pembe za ndovu zilizotaifishwa ili kupata fedha za kuimarisha ulinzi, kwa lengo la kumaliza tatizo la ujangili.
Ripoti zinaeleza kuwa idadi ya tembo katika Bara la Afrika imepungua kutoka mamilioni katikati ya karne ya 20 hadi kufikia 600,000 mwishoni mwa miaka ya 1980.

Biashara haramu ya pembe za ndovu imetokana na mahitaji makubwa kutoka Bara la Asia na nchi za Mashariki ya Kati, ikidaiwa kuwa hutumika kutengeneza dawa za asili. Bara la Afrika linakadiriwa kuwa na tembo 472,000.

Wednesday, September 12, 2012

IFWA part.......

APART WICH WILL BASE FOR SHARING IDES,FASHION,BIZNESS,SUPPORT,JOB SICKER AND OTHER MORE.its starter on 2012 by WAKUNGARAA C.O innocent maletho.The long term of word IFWA is INSIDE FIND WHAT U WANT(IFWA)so soon iwill open the link abt this for many people to login and share this is aim to an able youth to connect each other easy and for reason of develop ment put ur comment down then next time open the link  iwill rich to another steps..KWAN WALE WANANN SS TUSHINDWE KWANNN???C YA

Saturday, August 25, 2012

Barack Obama Ana Kiwanda Cha Bia ndani ya White House......



Kuongoza nchi kubwa kama Marekani yataka moyo! Ndio maana Barack Obama aliamua kuwa na kiwanda cha bia kwenye ikulu ya White House ili kupunguza stress za cheo hicho kikubwa duniani. Isitoshe kipindi hiki ni kigumu kwake kwakuwa anaelekea kwenye uchaguzi, so kupiga mtungi si jambo la kushangaza kwake.



 Amekuwa rais wa kwanza wa hivi karibuni nchini Marekani kunywa bia inayotengezwa kwenye Ikulu.
Bia inayotengenezwa humo imepewa jina la ‘White House Honey Ale’ ikiwa na rangi mbalimbali.

 Asali kidogo inayopatikana kwenye bia hiyo inatoka kwenye mizinga ya nyuki anayofuga mkewe Michelle Obama kwenye bustani yao.............