Saturday, November 17, 2012

Kumbe Hii Ndio Sababu ya Hussein Machozi kuhamia Kenya

Msanii mahiri wa Bongo Fleva almaarufu kama Hussein Machozi baada ya kutamba na ngoma zake kadhaa kali kama Addicted,Mizimu,Kwa ajili yako na ngoma zingine kali sasa Latest info kutoka kwa msanii huyu ni kwamba baada ya kufanya ngoma ya mpya ambayo ilikuwa inakwenda kwa jina la Addicted huko kenya sasa ameamua kufunguka na kuweka wazi sababu ambazo zimemfanya mpaka aanze kufanya kazi zake nchini kenya,alieleza kwamba kwanza nchini Kenya kwa wiki anapata show mara tatu pia kule muziki wake unalipa sana kushinda huku bongo na ndiyo maana ameamua kufanya kazi zake nchini kenya

Sunday, November 4, 2012

THE BEST AGE TO BE SINGLE AND DATING.......

The single best decade for dating is...

Think it’s scary and miserable to be an older dater? Think again.

Conventional wisdom holds that dating success and enjoyment are like the contents of a milk carton, because they come with an expiration date. But recent research indicates that older daters are also the happiest daters — a surprise, no doubt, to those in their twenties who think that romance is solely for the young. As it turns out, the “young at heart” have it going on much more than anyone previously realized.

 According to a recent study from Match.com, older singles report feeling the greatest level of happiness combined with the least amount of stress over their relationship status. So, you can relax about being single and/or dating after a certain age, because your love life down the road could be much better than you expect. Of course, that’s not to say that people in different age groups want the same things in a match; after all, everyone’s life stages are distinct, and what we want and need at 20 differs radically (for the most part) from what we want when we’re 60.If you need to be single you can Browse Local Singles at Match.com on Yahoo!


UJANA MAJI YA MOTO....BE SINGLE.......FANYA MAMBO YAKO JIJENGE THEN BE IN DATING......WAZURI HAWAISHIIII

Tuesday, October 23, 2012

F.D.A. Receives Death Reports Citing Popular Energy Drink.....

Five people may have died in recent years after drinking Monster Energy, a popular energy drink that is high in caffeine, according to incident reports recently released by the Food and Drug Administration. The reports, like similar filings made with the F.D.A. in cases connected with drugs or medical devices, do not prove a link between Monster Energy and the deaths or health problems. The records were recently obtained under the Freedom of Information Act by the mother of a 14-year-old Maryland girl who died in December from a heart arrhythmia after drinking large cans of Monster Energy on two consecutive days.Last week, Wendy Crossland, the mother of that teenager, filed a lawsuit against Monster Beverages, a publicly traded company in Corona, Calif., that used to be known as Hansen Natural. The lawsuit charges that Monster failed to warn about the risks of its energy drinks; a spokeswoman for the company said last week that its products were safe and not the cause of the teenager’s death. That spokeswoman, Judy Lin Sfetcu, added that Monster was “unaware of any fatality anywhere that has been caused by its drinks.” In an interview, an F.D.A. spokeswoman, Shelly Burgess, said the agency had received reports of five deaths possibly linked to the drink as well as another report of a heart attack. The reports cover a period of 2004 to June of this year. The reports do not make clear whether the incidents involved other factors, like alcohol or drugs. However, the number of reports that the F.D.A. receives about any product it regulates usually understates by a large degree the actual number of problems. The release of the filings about Monster Energy may increase Congressional calls for greater regulation of the energy products industry. Monster Energy is among scores of energy drinks like Red Bull and Rock Star, and energy “shots” like 5-hour Energy, that companies are aggressively marketing to teenagers and young people. In a statement, Ms. Burgess, the F.D. A. spokeswoman, said that it was the responsibility of energy drink manufacturers to investigate accusations of death or injuries associated with them. She said that the agency was still looking into the cases but had yet to establish a causal link between the deaths and the drink. Monster Beverage makes a variety of energy drinks with names like Monster Rehab, Monster Assault and Monster Heavy Metal. Labels on the containers state that they are “not recommended” for some consumers, including children — a group that beverage producers define as those under 12 years — and people “sensitive” to caffeine. Monster Energy did not immediately respond Monday to a request for comment on the F.D.A. filings. Under current F.D.A. rules, companies do not need to disclose caffeine levels in their beverages and can choose to market them as drinks or as dietary supplements. Those various regulatory categories have differing labeling and ingredient rules. While healthy adults can consume large quantities of caffeine from sources like coffee, tea and energy drinks, the drug, which acts as a stimulant, can pose risks to those with underlying conditions like heart disorders. The type of 24-ounce can of Monster Energy that the Maryland teenager, Anais Fournier, drank contains 240 milligrams of caffeine, three times the amount found in an 8-ounce can of Red Bull and about 50 milligrams more than in the 20-ounce size of Red Bull. The lawsuit filed last week on behalf of the teenager referred to autopsy and medical examiner reports that said she had died of “cardiac arrhythmia due to caffeine toxicity” that had exacerbated an existing heart problem. A lawyer for her family, Kevin Goldberg, said that the 14-year-old had been aware she had an underlying condition but added that her doctors had not told her to restrict her physical activities or her caffeine use. In an April letter citing the teenager’s death, Senator Richard J. Durbin, Democrat of Illinois, urged the F.D.A. to enforce caffeine levels in energy drinks. In August, F.D.A. officials responded by saying that there was insufficient evidence to take action on caffeine levels in energy drinks. However, the agency also noted then that it had not yet received medical reports related to the Maryland teenager’s death.By BARRY MEIER | New York Times – 13 hours ago powered by MALETHO SON...BLOGSPOT.

Monday, October 22, 2012

AM BACK NOW TO KEEP YOU UPDATE........MA FANS!!!!

i waz biz wit working staffs visafari vya hapa na pale but nw am back i knw you mis me ma news,informative and otherz....but all in all am back.....get ready for hot newz......yereeeeeeeeeee!

Pembe za ndovu kutoka Dar zanaswa Hong Kong......

MAOFISA Forodha wa Hong Kong wamekamata kontena mbili za pembe za ndovu zenye thamani Dola za Marekani 3.4 milioni (wastani wa Sh5.4 bilioni), zinazodaiwa kupelekwa huko zikitokea Tanzania na Kenya.

Pembe hizo, vipande 1,209 vyenye uzito wa tani nne, zilikamatwa juzi nchini humo zikiwa kwenye kontena mbili ambazo ziliwekwa alama kuwa zimebeba plastiki chakavu na maharagwe aina ya roscoco.

Waziri wa Maliasili na Utalii, Balozi Khamis Kagasheki akizungumza na gazeti dada la Mwananchi (The Citizen), alisema amepata taarifa za kukamatwa kwa pembe hizo na atatoa maelezo baadaye.

“Nimepata taarifa, lakini siwezi kuzungumzia hilo sasa hivi kwa kuwa tuko katika mchakato wa kuuza akiba ya pembe za ndovu tulizonazo.”

Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Wanyamapori, Paul Sarakikya alisema hana taarifa kuhusu kukamatwa kwa pembe hizo na kuahidi kufuatilia.

“Hatujapata hizo taarifa, kwani wewe umezipata wapi? Gazeti gani hapa Tanzania limeandika habari hizo! Kama hazijaandikwa, ndiyo kwanza wewe unanipa taarifa, hivyo tutafuatilia,” alisema na kuongeza kuwa watawasiliana na Idara ya Polisi wa Kimataifa (Interpol), ili waweze kujua undani wa suala hilo.

Taarifa kutoka Hong Kong zinasema hiyo ni mara ya kwanza kwa kiasi kikubwa kama hicho cha pembe za ndovu kukamatwa nchini humo zikiwa zimefichwa ndani ya mabegi yaliyokuwa na plastiki chakavu pamoja na maharagwe.
Kugundulika kwa pembe hizo imeelezwa kulitokana na taarifa zilizotolewa na maofisa wa Serikali ya China kwa maofisa forodha wa Hong Kong.

Kutokana na tukio hilo, Serikali ya China imewakamata watu saba akiwamo mkazi mmoja wa Hong Kong kuhusiana na pembe hizo.

Kukamatwa kwa pembe hizo kumekuja wakati Serikali ikiwa imeomba upya kwa Umoja wa Mataifa, kuuza akiba yake ya pembe za ndovu zilizotaifishwa ili kupata fedha za kuimarisha ulinzi, kwa lengo la kumaliza tatizo la ujangili.
Ripoti zinaeleza kuwa idadi ya tembo katika Bara la Afrika imepungua kutoka mamilioni katikati ya karne ya 20 hadi kufikia 600,000 mwishoni mwa miaka ya 1980.

Biashara haramu ya pembe za ndovu imetokana na mahitaji makubwa kutoka Bara la Asia na nchi za Mashariki ya Kati, ikidaiwa kuwa hutumika kutengeneza dawa za asili. Bara la Afrika linakadiriwa kuwa na tembo 472,000.

Wednesday, September 12, 2012

IFWA part.......

APART WICH WILL BASE FOR SHARING IDES,FASHION,BIZNESS,SUPPORT,JOB SICKER AND OTHER MORE.its starter on 2012 by WAKUNGARAA C.O innocent maletho.The long term of word IFWA is INSIDE FIND WHAT U WANT(IFWA)so soon iwill open the link abt this for many people to login and share this is aim to an able youth to connect each other easy and for reason of develop ment put ur comment down then next time open the link  iwill rich to another steps..KWAN WALE WANANN SS TUSHINDWE KWANNN???C YA

Saturday, August 25, 2012

Barack Obama Ana Kiwanda Cha Bia ndani ya White House......



Kuongoza nchi kubwa kama Marekani yataka moyo! Ndio maana Barack Obama aliamua kuwa na kiwanda cha bia kwenye ikulu ya White House ili kupunguza stress za cheo hicho kikubwa duniani. Isitoshe kipindi hiki ni kigumu kwake kwakuwa anaelekea kwenye uchaguzi, so kupiga mtungi si jambo la kushangaza kwake.



 Amekuwa rais wa kwanza wa hivi karibuni nchini Marekani kunywa bia inayotengezwa kwenye Ikulu.
Bia inayotengenezwa humo imepewa jina la ‘White House Honey Ale’ ikiwa na rangi mbalimbali.

 Asali kidogo inayopatikana kwenye bia hiyo inatoka kwenye mizinga ya nyuki anayofuga mkewe Michelle Obama kwenye bustani yao.............

Facebook will disappear in the future....

Arcording to the expert's prediction, Facebook will be disappeared in next 5 to8 years . This information make the users in the internet tumult and worry in the recent weeks. However, the experts are not really shocked if it will happen reality.

Eric Jackson, founder of Ironfire Capital, said that in 5 to 8 years, Facebook will be disappeared in a way similar to Yahoo disappear. " Whether Yahoo is still making money, still profitable, still has 13 thousand employees working for them but they were only 10% in profit compared with their highest profit in 2000. That means unsuccessful and disappear
Jackson noted that, until this moment, the world has developed three generations of Internet companies. The first is Yahoo, a Web portal. This is a great example as a pioneer in the online field.Facebook then as the second generation with the wave of social media. The third generation is the world's mobile phone.

One of the problems for Facebook as the company can not make money from growing base of mobile phones. According to Jackson, Facebook will face challenges when moving into the mobile phone market like Google faced difficulties entering the field of social networks.

On the other side, predicted a collapse on Facebook comes just weeks after social networks have trouble with the IPO shares. Many financial analysts said that the company introduce the shares in the market was too high and it can never turn back to the first price.

Dan Olds, an analyst at consulting Gabriel Consulting Group agree with the views of Jackson, mobile phones will serve as increasingly important for any Internet company would, especially social networks . However, he believes too early to say Facebook will be thrown away of the mobile phone market.

Dan Olds said "Facebook is progressing slowly in the field of mobile phones. Most users see Facebook interface for mobile phone hardly to see. However, Facebook recently redesigned interface for mobile phones to view images more easily. But Facebook also needs to build a mobile business model so we can improve to attract advertisers.

Brad Shimmin, an analyst at CurrentAnalysis, agree with the view that, mobile phone is important, the foundation can help Facebook prosper and Facebook can also shield fall

Moshi Ufundi: Sekondari iliyogeuka kuwa magofu....(MOSH TECH)

HAINA CHOO, BAFU, WANAFUNZI WAJISAIDIA VICHAKANI.....


Kijana akipiga mswaki eneo la shule ya Sekondari ya Ufundi Moshi iliyopo Manispaa ya Moshi Mkoani Kilimanjaro.













 SHULE ya Sekondari ya Ufundi Moshi iliyopo Manispaa ya Moshi Mkoani Kilimanjaro ni miongoni mwa shule za Serikali iliyokuwa ikifanya vizuri kwa kutoa wasomi wengi miongoni wapo serikalini na taasisi binafsi.

Ilianzishwa mwaka 1957 ikiwa kama shule ya masomo ya biashara na ilipofikia mwaka 1967 ilibadilishwa na kuwa shule ya sekondari ya ufundi kuanzia kidato cha kwanza hadi cha nne.

Kwenye miaka ya 1970 na 1980, ilikuwa na mazingira nadhifu kwa kuwa na majengo ya mabweni na vyumba vizuri vya kusomea. hali hiyo pia ilikuwa ikiandamana na matokeo mazuri kwa wanafunzi wengi.

Leo hii ukichunguza mazingira yake yalivyo ukalinganisha na hali na hadhi iliyokuwa nayo miaka 30 iliyopita waweza kupata wazo ambalo linawiana na msemo wa Kiswahili usemao: "Ngoma ikivuma sana mwisho wake hupasuka."

Sasa iko katika hali mbaya kiasi kwamba hata wanafunzi hawawezi kuingia msalani kutokana na miundombinu ya shule hiyo kuwa mibovu kupita kiasi.

Leo hii wanafunzi waalazimika kutumia choo kilichojenga mwaka juzi kwa ajili ya walemavu chenye matundu matatu ambacho kinatumiwa na wanafunzi wa kidato cha kwanza hadi cha sita.

Mmoja wa wanafunzi wa shule hiyo anasema vyoo na bafu vilijengwa tangu shule ilipoanzishwa na vimekuwa havifanyiwi ukarabati wala kujengwa vipya jambo ambalo limesababisha kuchakaa kiasi kwamba havifai kutumika.

Ukiingia baadhi utaona kuta zimoka sakavu imeharibika na vingi vinatiririsha maji machafu pembeni nu kusababisha vigeuke kuwa mazalia ya nzi, mende na wadudu wengine wanaotambaa.

Anasema wanafunzi wanashindwa kuvitumia vyoo hivyo mchana na mara nyingine wanajikuta wakilazimika kwenda kijisaidia kwenye vichaka karibu na shule hiyo.

Kutokuwa na maeneo ya kujisetiri faraga wakati wa kuoga, kumekuwa kukiwafanya wasubiri usiku wa giza ambao siyo rahisi kuonekana wao kwa wao au wapitanjia.

Alisema kufuatia uchakavu wa majengo, baadhi ya mabati yaliyoezekea majengo hayo yametoboka na wakati wa mvua yanavuja na hata kusababisha dari kuchakaa na mara kadhaa vipande vyake vimekuwa vikiwadondokea.

“Yaani hii shule iko katika hali mbaya kiasi kwamba hata sisi tunaosoma hapa tunaona tuko kama tunasomeshwa bure kumbe tunalipa ada na wazazi wanajua tuko katika shule nzuri. Kumbe mazingira haya ni mabaya," anasema mawafunzi huyo.

Uchakavu wa shule hiyo ipo hadi kwenye miundo mbinu ya usambazaji wa umeme na sasa majengo mengi hayana umeme jambo linalowalazimisha wanafunzi kutumia mishumaa wakati wa kusoma.

Licha ya uchakavu huo, wanafunzi wanalalamika kwamba wanafunzi wanaosajiliwa kila mwaka ni wengi kuliko uwezo wake.

“Kwa kweli! Kiwango cha elimu hapa shuleni kinashuka kutokana na mfumo wa shule ulivyo waalimu hawajali ni sawa na kwamba hawathamini kazi zao na mazingira wanayofanyia," anasema mmoja.

Anatoa mfano wa darasa lake kuwa lina wanafunsi zaidi ya 100 wakati uwezo wake halisi ni kati ya 45 hadi 50.

Anasema wakati mwalimu anafundisha, baadhi ya wanafunzi hushindwa kuingia darasani na kubakia kusikiliza wakiwa nje jambo ambalo linapunguza usikivu wa umakini.

“Wanafunzi wengi hawaingii darasani kwa kuwa unakuta hakuna sehemu ya kukaa wakiingia wengine wanakuwa wanazunguka tu na wala walimu hawasemi chochote,” analalamika mwanafunzi huyo.

Tatizo jingine ni shule hiyo kutokuwa na vifaa vya kufundishia wanafunzi walemavu, jambo ambalo linawapa shida kuendana na mazingira halisi ya ufundishaji hivyo kushindwa kupata elimu iliyokusudiwa.

Wanafunzi hao walisema walemavu walioko shuleni hapo hawatendewi haki kwa kuwa wanachanganywa na wanafunzi wakawaida bila kujali ni mlemavu wa aina gani.

“Hapa shuleni tuna walemavu ambao hawana uwezo wa kusikia sauti na wengine wasioona na vipofu na huwa tunachanganywa nao madarasani hawana waalimu wa kuwafundisha na unakuta hata hawaelewi chochote.” alisema.

Alisema baadhi ya waalimu hawaingii kufundisha darasani na pale wakijisikia na pale tunapohoji wanafunzi wanafukuzwa shule kwa kuwa hivi karibuni kuna baadhi ya viranja pamoja na wanafunzi ambao walihoji kuhusu ufundishaji na wote walifukuzwa.

Alisema wanafunzi wengi wamekuwa wanahofia kuzungumza hadharani matatizo ya shule hiyo kwa hofu ya kufukuzwa shule.

“Pamoja na ubovu wa vyoo, madarasa na mabafu hatuthubutu kulalamika kwa kuwa hofu ni kupatiwa barua ya kufukuzwa shule,” alilalamika.

Anadai kuna wanafunzi waliwahi kufukuzwa shule kutokana na kitendo cha kuhoji ratibu ya vyakula kwa sababu wanafunzi wamekuwa wakipikiwa Ugaki na maharage kila siku.

Anasema wanahofia maisha yao wakati wakiwa wamelala kutokana na bweni la wasichana kubomoka na wote kuhamia gorofa ya kwanza ambapo wanalazimika kulaa wanafunzi wanane hadi 10 katika chumba kimoja ambacho kina uwezo wa kulaza wanafunzi wanne.

Anaema gorofa ya juu ya jengo wanalolala limebomoka na hata ngazi zimevunjika kiasi kwamba ni hatari katika maisha yao.


“Tumelalamika kwenye uongozi wa mara kadhaa bila mafanikio,: lialaliachochote na ndio shule tuliopangiwa tukifikiria wengine wazazi wetu hawana uwezo wa kutuhamisha kwenda shle nyingine inatubidi tuvumilie shida hizi,” anasema.

Kwa upande wake mkuu wa shule hiyo Maddy Kisuu, alikiri shule hiyo kukabiliwa na changamoto mbalimbali zikiwemo za uchakavu wa majengo, miundo mbinu na kushuka kiwango cha taaluma.

Kisuu anasema hali hiyo imechangiwa na Serikali kuongeza idadi ya wanafunzi wanaojiunga na shule hiyo huko miundombinu ya majengo ikiwa ni ile ile.

Anasema shule hiyo yenye wanafunzi 1,476 ina waalimu 17 na kusababisha kiwango cha elimu kushuka kupita kiasi kutokana na upungufu wa walimu.

Mkuu huyo anasema shule hiyo pia ina wanafunzi wenye matatizo ya kusikia 100 lakini ina walimu 5 kwa ajili yao jambo ambalo halitoshelezi kukidhi matakwa yao kikamilifu.

Anasema shule hiyo ni miongoni mwa zile zilizokuwa zikitoa wataalamu mbalimbali wa ufundi nchini lakini kwa sasa kiwango cha elimu kimeshuka kutokana na kukoza mazoezi kwa vitendo.

Katika kuthitisha hilo, anasema rekodi ya matokeo ya mithani wa kidato cha nne mwake 2007 yanaonyesha wanafunzi waliofaulu kwa daraja la kwanza 60 kati wanafunzi 230. Katika mwaka 2009 wanafunzi 14 tu kati ya 117 ndio waliofauli daraja la kwanza na na mwaka 2011 wanafunzi 29 kati ya 153 ndio walofaulu kwa daraja la kwanza.

Kwa matokeo ya kidato cha sita 2006 /2007 wanafunzi saba kati ya 152 ndio walifaulu kwa daraja la kwanza na 2007 /2008 hakukua na aliyefaulu kwa daraja la kwanza kati ya wanafunzi 101 na mwaka 2010/2011
waliofaulu kwa daraja la kwanza walikuwa tisa kati ya 151 na 2011/2012 wanafunzi wawili kati ya 183 ndio walifaulu kwa daraja la kwanza.

Kwa upande wa walemavu, hakuna aliyeweza kufaulu kwa miaka mitatu mfululizo iliyopita.

Wednesday, August 8, 2012

WATOTO WA MITAANI WATISHIA USAFI MOSHI MJINI.....

HALMASHAURIA ya Manispaa ya Moshi inakabiliwa na ongezeko la watoto wa mitaani wanaotishia kuibuka kwa vitendo vya uhalifu, huku mashirika ya Serikali na yasio ya Serikali yakitakiwa kusaidia kutoa elimu na ajira. Akizungumza mwishoni mwa wiki iliyopita, Mkurugenzi wa Manispaa ya Moshi, Bernadette Kinaboalisema halmashauri ina hofu baada ya ongezekola watoto wa mitaani,hali inayoweza kusababisha kuongezeka kwa vitendo vya ujambazi na magonjwa ya maambukizi. Kinabo alisema mwaka 2009 Manispaa ya Moshi ilikuwa na watoto wa mitaani 4,600, ambao walitoka familia za ndoa zilizovunjika ikiwamo umaskini uliowaondoa majumbani kwa kukosa huduma muhimu. Alisema zaidi ya nusu watoto hao wanasomeshwa na taasisi zisizo za Serikali na wengine wanasomeshwa kupitia magari (Mobile School ), badala yake wamekuwa wakirejea mitaani na kujitumbukiza katika vitendo viovu na uporaji. “Kwa kweli kila siku ziendavyo halmashauri inazidi kukabiliwa na ongezeko la watoto wa mitaani licha ya mji wetu kuwa msafi, wamekuwa wachafuzi wakubwa kwa baadhi ya maeneo,” alisema Kinabo. Kuhusu usafi wa mji huo, Kinabo alisema tangu mwaka 2006 ilipoweka sheria ndogo ya usafi wa mazingira ikisaidiana na sheria ndogo ya ada na ushuru ya mwaka huohuo, wamekuwa na mafanikio makubwa wa kuuweka mji wa Moshi katika hali ya usafi wa hali ya juu. Alisema mji huo umekuwa wa kwanza kwa usafi katika halmashauri 17 nchini kwa miaka mitano mfululizo, hivyo kuwafanya wageni wakiwamo watalii kutembelea mara kwa mara ikiwamo maeneo ya vivutio. Alisema hali hiyo imesababisha kutoa ajira kwa vikundi vya jamii na kupata ufadhili kutoka mji wa Delray Beach, nchini Marekani na kwamba, karibu watawasili hivi karibuni kuimarisha vikundi kazi kupitia mradi wao wa Manispaa ya Moshi.

Saturday, August 4, 2012

Zitto atoa ya moyoni kuhusu madai ya rushwa........

WAKATI shinikizo la kuvunjwa kwa Kamati ya Bunge ya Mashirika ya Umma (POAC), kwa tuhuma za ufisadi likiendelea, Mwenyekiti wake, Zitto Kabwe ameibuka na kukituhumu chama tawala CCM, Serikali na baadhi ya wapinzani akidai kuwa wana uchu wa kuiongoza kamati hiyo na wanaratibu mkakati wa kumchafua.

Kwa sababu hiyo, amepinga maoni ya baadhi ya wabunge wanaotaka ivunjwe na badala yake akasema kama kuna ushahidi wa kutosha dhidi ya vitendo vya rushwa, basi awajibike yeye.

Akizungumza na waandishi wa habari jana, Zitto alisema licha ya mkakati huo, katu hatarudi nyuma katika kutetea masilahi ya taifa kwa kuwa anaamini siku zote uongo hujitenga na ukweli.
“Mchango wa POAC katika Bunge na ustawi wa mashirika ya umma ni bayana na haujawahi kutiliwa shaka. Kamati yetu imeokoa upotevu mkubwa wa mali na fedha za umma kutokana na umakini wake,” alisema Zitto na kuongeza:

“Tumefanya hivyo CHC, Kiwira na kwenye mashirika mengi. Kote huku uadilifu wa kamati hii haujawahi kuhojiwa. Zipo hoja pandikizi za kutaka POAC ivunjwe na haswa zikinilenga mimi binafsi. Nafahamu kiu ya wasioitakia mema nchi yetu kuiona POAC ikivunjwa au sura zikibadilishwa kwa kuwa kamati hii imekuwa mwiba kwa mikakati yao ya kifisadi.”

“Kwa maoni yangu, POAC isihusishwe na tuhuma hizi kwa vyovyote vile. Niko tayari nihukumiwe mimi (Zitto) na siyo kuhusisha wajumbe wengine ambao hawatajwi mahala popote katika tuhuma hizi mbaya sana katika historia ya Bunge letu.”

“Nitakuwa tayari kunusuru Kamati ya POAC na masilahi ya taifa letu kwa kujiuzulu uenyekiti, iwapo itathibitika pasipo shaka kuwa nimehongwa. Kamati ya POAC ni muhimu kuliko mimi.”

Awali, Zitto alisema amelazimika kuzungumzia suala hilo kuufahamisha umma kwamba tuhuma hizo zenye shinikizo la kisiasa zinaelekezwa kwake binafsi na si kamati kwa jumla wake.
“Taarifa hizo, kama kawaida ya uzushi mwingine wowote, zimesambazwa kimkakati na kwa kasi kubwa, kiasi cha kuukanganya umma,” alisema.

Alisema mkakati wa kumuunganisha na baadhi ya wabunge wanaotuhumiwa kupokea rushwa, unatekelezwa kwa njia mbalimbali, ikiwamo kauli za watendaji wa Serikali aliodai wamekuwa wakizieneza kutoa taswira kwamba baadhi hoja zake zinatokana na ushawishi wa rushwa.

Akifafanua tuhuma za ushiriki wake wa rushwa katika sekta ya Nishati na Madini, Zitto alisema baada ya Bodi ya Wakurugenzi ya Tanesco kumsimamisha Mkurugenzi Mkuu, William Mhando, POAC ilimwomba Spika aridhie kamati yake iwaite wajumbe wa bodi hiyo ya Tanesco, CAG na PPRA, kujiridhisha na tuhuma hizo.

“POAC ilimwomba Spika kuwaita wahusika kwa kuwa zilikuwapo tetesi kuwa kusimamishwa kazi kwa mkurugenzi huyo kabla ya Bajeti ya Nishati na Madini kulikuwa na lengo la kufunika ‘madudu’ makubwa zaidi, kwa kulichagiza Bunge na tukio hilo dogo, mkakati ambao naona umefanikiwa sana,” alisema na kuongeza:

“Isitoshe, kamati kujiridhisha na hatua za bodi ni sehemu ya msingi ya utekelezaji wa majukumu yake yaliyowekwa kwa mujibu wa Kanuni za Kudumu za Bunge pia Tanesco ni moja ya mashirika ambayo yanawajibika kwetu kwa hesabu zake na ufanisi wake kwa jumla. Tumefanya hivyo katika mashirika mengi na hili la Tanesco siyo tukio la kipekee.”

“Binafsi sijawahi kuwa na mawasiliano ya aina yeyote na uongozi wa Tanesco, kushawishiwa juu ya hatua ambazo POAC ndiyo imezichukua za kutaka kujiridhisha juu ya utaratibu waliotumia.”
“Ieleweke wazi kabisa kuwa hakuna wakati wowote, popote ambapo mimi au kamati yetu imekataa Mkurugenzi Mkuu wa Tanesco kuchunguzwa kwa tuhuma zozote. Ambacho tumesisitiza wakati wote ni ufuatwaji wa taratibu, kanuni na sheria, hili nitalisimamia iwe masika au kiangazi.”

Mbunge huyo wa Kigoma Kaskazini kwa tiketi ya Chadema alisema kutokana na imani hiyo, anaunga mkono suala la tuhuma za rushwa zinazotajwa zichunguzwe na Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge kwa kina.

“Nakiomba pia chama changu, Chadema na vyombo vya dola vichunguze tuhuma hizo na kujiridhisha na ninaahidi kushiriki kikamilifu, iwapo nitatakiwa katika uchunguzi wowote utakaofanywa na niko tayari kuwajibika iwapo nitakutwa na hatia yoyote,” alisema.

“Napenda kuwatoa hofu wananchi wa Jimbo la Kigoma Kaskazini walionituma kuja kuwawakilisha hapa bungeni na Watanzania wote kwa jumla kwamba, mimi Zitto Kabwe sina bei, sijawahi kuwa nayo na sitarajii kuwa nayo huko mbeleni.”

“Daima nasimamia kidete maadili ya uongozi bora katika maisha yangu yote ya siasa na ninaahidi, sitarudi nyuma katika mapambano dhidi ya rushwa katika nchi hii pamoja na mikakati ya aina hii ya kunidhoofisha na kunivunja moyo.”

Zitto alilaani kile alichosema kuwa tabia iliyoanza kujengeka katika siku za hivi karibuni ya kuwamaliza wanasiasa wenye kudai uwajibikaji na uzalendo na kuanzishwa kiwanda kwenye medani ya siasa cha kuzalisha majungu na fitina, zenye lengo la kuwachonganisha wanasiasa wa aina hiyo na wananchi kwa kutumia nguvu za fedha.

Awashukia Profesa Muhongo, Maswi
Aliongeza kwamba, akiwa Dodoma amewahi kupata taarifa kwamba Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo na Katibu Mkuu wake, Eliachim Maswi ndiyo wanaosambaza taarifa kwamba amepewa rushwa na Tanesco.

“Hali hii inaniondolea shaka juu ya ushiriki wao katika kueneza au kuthibitisha uvumi huo. “Ninajaribu sana kuzuia kutokuwa na shaka na ushiriki wao huo ikizingatiwa uzito na taswira ya nafasi zao katika jamii, lakini wameshindwa kunidhihirishia tofauti,” alisema.

Mbali na kuwatuhumu watendaji hao wa Serikali kwa kumchafua, Zitto alieleza kushangazwa na kauli zao kwamba mgawo wa umeme sasa basi, akieleza kuwa si kweli.

“Ili kumaliza tatizo la mgawo wa umeme kama alivyosema waziri na katibu mkuu, tunapaswa kuwa na Sh42 bilioni kila mwezi kuzilipa kampuni za IPTL na Symbion kama ‘service charge’, fedha hiyo haijatengwa kwenye Bajeti. Sasa msishangae baada ya wiki mbili mgawo ukarejea na watu watasema hizo ni njama za mafisadi,” alisema.

Zitto alisema waziri pia hakuwa sahihi kueleza kuwa Tanesco inapoteza Sh40 bilioni zinazotokana na mapato yake kwa mwezi baada ya matumizi ya Sh11 bilioni kwa kuwa hadi sasa shirika hilo la umma lina madeni mengi.

“Hivi inawezekana kweli maelezo hayo ya waziri kwamba kila mwezi Tanesco inatumia Sh11 bilioni kulipa mishahara na kupoteza Sh40 bilioni, zinazotokana na mapato yake? CAG yuko wapi na Kamati hii (POAC) iko wapi? Yaani wote sisi tusiyaone hayo ila yeye?,” alihoji.

Akizungumzia madai hayo ya Zitto, Profesa Sospeter Muhongo alisema: “Kila wakati tumekuwa tukizungumza juu ya jambo hilo, lakini hata hivyo, kama mnaweza kuangalia kupima uzito uko pande gani basi andikeni upande huo kati ya mimi na Zitto.”

Alisisitiza kwamba hakuna mgawo wa umeme na hilo ndilo analotaka Watanzania wafahamu na waondoe shaka na kamwe wasitegemee kusikiliza mawazo kutoka kwa watu ambao wanaamini kwa kufanya hivyo watajenga umaarufu.

Maswi hakupatikana jana kuzungumzia tuhuma hizo za Zitto baada ya simu yake ya mkononi kuita muda mwingi bila kupokewa na hata alipoandikiwa ujumbe mfupi hakujibu.

Spika aunda kamati maalum kuchunguza ufisadi bungeni...

KAMATI YA MAADILI YAWEKWA KANDO,KUKAMILISHA KAZI KWA WIKI MBILI...

SAKATA la tuhuma za ufisadi bungeni limeingia katika hatua mpya, baada ya Spika wa Bunge, Anne Makinda kuamua kuunda Kamati ndogo ya watu watano kuchunguza tuhuma za baadhi ya wabunge kuhongwa, kwa lengo la kushawishi uamuzi unaofaa kuchukulia katika chombo hicho cha kutunga sheria.

Uamuzi huo ambao Spika aliutangaza jana baada ya kipindi cha maswali na majibu Bungeni, unauweka kando ule wa awali, ambao ulikuwa ni kulipeleka suala hilo katika Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge, ambapo alikuwa ameahidi kuwaengua wote watakaoonekana kuwa, wana mgongano wa kimaslahi na suala linalotakiwa kuchunguzwa.

Habari ambazo gazeti hili lilizipata zinadai kuwa, hadi jana wakati Makinda akichukua uamuzi huo, Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge ilikuwa imeishaanza kazi kwa kufanya vikao kadhaa vya kuainisha watu ambao walipaswa kuitwa ili kutoa ushahidi na wengine kwa ajili ya kujibu tuhuma dhidi yao.

Makinda alisema Kamati hiyo itakayoongozwa na Mbunge wa Mlalo, Brigedia Jenerali Hassan Ngwilizi, itachunguza ukweli wa tuhuma hizo na kutoa majibu kwake ndani ya siku 14 kuanzia jana.

Alisema ameamua kufanya mabadiliko ya namna ya kushughulikia tuhuma hizo ili kutenda haki kutokana na unyeti wa suala hilo.

"Kwa kuzingatia misingi ya haki asili, tumeamua kutomweka mjumbe yeyote wa Kamati ya Nishati na Madini katika kamati hiyo," alisema Spika Makinda na kuongeza;

"Wajumbe wa kamati hiyo ni Mheshimiwa John Chiligati (Manyoni Magharibi), Riziki Omar Juma (Viti maalum), Said Amour Arfi (Mpanda Mjini) na Gosbert Blandes (Karagwe)."

Hata hivyo wajumbe wanne kati ya watano wanatoka ndani ya Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge, isipokuwa Chiligati ambaye anaungana na wenzake akitokea katika Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama.

Spika alibainisha kuwa, kamati hiyo imepewa majukumu ya kuchunguza tuhuma hizo na kujiridhisha kuhusu ukweli wake, kisha kumshauri (Spika) hatua za kuchukua.

Hatua hiyo ya Spika imekuja siku chache baada ya baadhi ya vyama vya siasa na wabunge, kuhoji usafi wa Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge hata ikapewa jukumu la kuchunguza tuhuma hizo.

Baadhi ya vyama vilivyoitilia shaka kamati hiyo ni NCCR Mageuzi, ambacho Mwenyekiti wake, James Mbatia alitaka Kamati hiyo pia ivunjwe na kuchunguzwa kwa tuhuma za ufisadi.

Chama kingine ni Chadema, ambapo mwanachama na Mnadhimu Mkuu wa kambi ya upinzani, Tundu Lissu alitaka zivunjwe kamati kadhaa badala ya kamati ya Nishati na Madini pekee.

Pia Mbunge wa Arumeru Mashariki (Chadema), Joshua Nassari aliomba mwongozo wa Spika akitaka Kamati za Bunge za Hesabu za Mashirika ya Umma (POAC) na ile ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC), zivunjwe kwani tayari zilishatuhumiwa kwa rushwa.

Hadidu rejea
Spika Makinda alisema kuwa, moja ya majukumu ya msingi ya kamati ya kina Ngwilizi ni kukutana na kukubaliana namna ya kuendesha uchunguzi huo kwa haki na weledi.

"Kamati hiyo itatakiwa kupitia kumbukumbu ya taarifa rasmi za Bunge (Hansard) ili kujua michango ya wabunge wakati wa bajeti ya Wizara ya Nishati na Madini, kuwaita na kuwahoji mashahidi," alisema Spika Makinda.

Spika Makinda alimtaja Tundu Lissu kuwa ni shahidi muhimu katika uchunguzi huo, kutokana na hatua yake ya kuwataja baadhi ya watuhumiwa katika mkutano wake na waandishi wa habari mjini Dodoma.

Aliwataja mashahidi wengine katika uchunguzi huo kuwa ni Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, wabunge wote waliochangia Hotuba ya Wizara ya Nishati na Madini na kutoa tuhuma za rushwa na mbunge yeyote mwenye ushahidi.

"Tundu Lissu ni shahidi kwa sababu aliwahi kuwataja wabunge hao kwenye mkutano wake na waandishi wa habari na waziri ndiye aliyeanzisha tuhuma hizo bungeni," Spika Makinda alisema.

Aliongeza kuwa, kutokana na unyeti wa suala hilo, kamati hiyo inapaswa kuzingatia Katiba, Sheria, Kanuni za Bunge na weledi wa hali ya juu.

"Sasa waliotaka kuwataja wabunge hao humo bungeni sasa waende wakawataje kwenye kamati hiyo, alisema Spika Makinda," alisema.

Hata hivyo, jana mchana wakati wa kuahirishwa kikao cha Bunge cha mchana mbunge wa Muhambwe (NCCR-Mageuzi), Felix Mkosamali alihoji sababu za kamati hiyo kujaa wabunge watatu wa CCM huku chama chake kikiwa hakina hata mjumbe mmoja.

Lakini, hoja hiyo ilifafanua na mwenyekiti Jenister Mhagama aliyekuwa akiendesha Bunge kwani alisema isingekuwa rahisi kamati hiyo kujaza watu wengi.

Wanasayansi waazimia kuuangamiza Ukimwi,,,,,,,,,,,,,,

MBINU MPYA ZA KITAALAMU SASA KUTUMIKA DUNIA NZIMA  ......................

MKUTANO wa Ukimwi uliokuwa unafanyika Washington DC, Marekani umemalizika kwa wajumbe zaidi ya 2,000 kuridhia maendeleo ya kisayansi yaliyofikiwa kwa sasa wakisema ni madhubuti hivyo kutoa azimio la kuungana kuangamiza janga la maradhi hayo duniani. Moja ya maazimio yao ni kuifikisha dunia mahali ambako hakutakuwa na mtu atakayekufa wala atakayekuwa anaishi na Virusi Vya Ukimwi (VVU). Hii inatokana na matumaini ya kisayansi waliyohakikishiwa na watafiti juu ya kuwepo kwa dawa zinazoweza kuzuia maambukizo mapya na ambazo zikitumika kikamilifu zaweza kufanya kazi kama tiba.

Pamoja na kuwepo kwa dawa hizo, wamekiri kuwa mkakati huo hauwezi kufikiwa iwapo dunia haitajenga mshikamano wa pamoja wa kisera, uelimishaji na fedha za kutosha kufanikisha mbinu hizo mpya za kisayansi. Wanasayansi wametahadharisha kuwa kuwepo kwa dawa hiyo siyo tija ya kuumaliza Ukimwi kama mikakati imara haitawekwa dunia nzima. Rais wa Taasisi ya Kijamii ya Kimataifa ya Mapambano dhidi ya VVU (IAS), Dk Elly Katabira alisema yapo mambo mengi ambayo yalithibitishwa kisayansi huko nyuma lakini kwa kuwa hakukuwa na mikakati madhubuti, tatizo hilo limeendelea kuwa janga la dunia.

Dk Katabira ambaye pia ni mmoja wa watafiti wa kisayansi katika Chuo Kikuu cha Tiba cha Makerere, Uganda alitoa mfano wa watoto kuendelea kuambukizwa Ukimwi wanapozaliwa wakati tayari dawa ya kuondoa tatizo hilo ipo. “Ni jambo la kusikitisha kwamba dawa ya kuzuia maambukizo ya VVU tumekuwa nayo tangu miaka 1990 lakini mwaka huu, 2012 takwimu zinaonyesha kuwa watoto zaidi ya 300,000 wataambukizwa VVU wakati wa kuzaliwa,” alisema Dk Katabira, ambaye pia alikuwa ni Mwenyekiti wa mkutano huo wa Ukimwi uliomalizika wiki iliyopita.

Kwa sababu hiyo, akasema silaha za kupambana na Ukimwi kwa sasa zipo lakini kama hakuna mikakati madhubuti ya kuzitumia, bado utaendelea kuwa janga la dunia. Mkutano huo wa kimataifa wa Ukimwi umekuwa ukifanyika kila mwaka ukiwakutanisha wanasayansi na watunga sera kama vile wanasiasa na wadau wa mapambano dhidi ya ugonjwa huo uliogundulika kwa mara ya kwanza mwaka 1981.

Mkutano wa safari hii umeelezewa kuwa ni wa kipekee zaidi ukilinganishwa na ile iliyowahi kufanyika miaka 30 iliyopita kwani kwa mara ya kwanza, umethubutu kutamka wazi, “dawa ya kuangamiza kabisa janga la Ukimwi ipo.” Kutokana na kujiamini huko, mkutano huo umetoka na Azimio linaloitwa la Washington DC ambalo ni la kugeuza kauli ya kuwa “Ukimwi hauna dawa” na kuwa “Ni wakati wa kuangamiza janga la Ukimwi.”

Azimio hilo ambalo tayari limetafsiriwa katika lugha mbalimbali duniani, kikiwemo Kiswahili, linasema: “Kugeuza mkono kwa pamoja: Ilani ya kuangamiza janga la Ukimwi.” Linaeleza: “Tuko katika wakati wa kipekee katika historia ya janga la Ukimwi. Miongo mitatu ya upiganiaji, utafiti na utoaji wa huduma stahimilivu kwa jamii imeifikisha dunia katika hali ambayo haikuwazika miaka iliyopita.” “Kwa sasa kuna uwezekano wa kuanza kuangamiza janga la Ukimwi wakati wetu.

Hasara imekuwa ya kutohesabika… Lakini sasa, kupitia maendeleo mapya ya kisayansi… Tumegundua kwamba inawezekana kukusanya mbinu zilizothibitishwa, ambazo, kama zitatekelezwa ipasavyo, zinaweza kugeuza mkondo wa Ukimwi.” Ingawa tafiti za kisayansi zinaendelea na baadhi zikiwa na matumaini mazuri ya kupata dawa ya chanjo na kuponya waathirika dhidi ya VVU, bado hazijathibitishwa na azimio la mkutano huo limeridhia mbinu zilizowasilishwa na wanasayansi za kuzuia maambukizo.

Imeelezwa kwamba mbinu hizo mpya za kuzuia kusambaa kwa VVU zikitumika kikamilifu siyo tu zitazuia maambukizo mapya, bali zitatibu wale waliokwishaambukizwa. Moja ya mikakati ya kufanikisha azimio hilo ni kuhakikisha duniani kote vinapatikana vifaa bora vya kuchunguza VVU na upatikanaji wa dawa. “Lazima tuongeze rasilimali na bidii yetu kwa kutumia vifaa tulivyonavyo leo kuzuia maambukizo mapya na kuboresha afya ya mamilioni ya watu walio na VVU/Ukimwi. Mamilioni ya maisha yataokolewa,” inaeleza sehemu ya Azimio hilo la Washington DC na kuongeza:

“Lengo la kwanza ni kuangamiza janga la Ukimwi... Liko katika uwezo wetu... Hakuna mtu anapaswa kutengwa ikiwa tunapanga kufikia lengo letu.” Miongoni mwa mambo ambayo azimio hilo linasisitiza kuwa hayana budi kuzingatiwa ili kuleta usawa ni pamoja na kuondoa unyanyapaa, ubaguzi, vikwazo vya kisheria na unyanyasaji wa haki za waathirika na wale walio hatarini. “Unyanyapaa na ubaguzi unazuia juhudi zetu zote na kuzuia utoaji wa huduma muhimu. Tuongeze kwa dhahiri upimwaji wa VVU, utoaji ushauri na uhusiano wa kinga, huduma za kuponya na usaidizi. Kila mtu ana haki ya kujua hali yake ya VVU na kupata matibabu, dawa na usaidizi,” linasisitiza azimio hilo.

Malengo mengine ni kutoa matibabu kwa wanawake wote wajawazito na wanaonyonyesha wanaoishi na VVU na kuangamiza uambukizaji wakati wa kujifungua. Azimio linahamasisha ujengaji wa mtandao mpana wa vita hiyo kwa kusema: “Tuongeze ufikio wa matibabu ya kupunguza makali ya VVU/Ukimwi kwa wote wanaohitaji.

Hatuwezi kuangamiza Ukimwi mpaka mikakati hii iweze kutekelezeka ulimwenguni kote.” Linaongeza: “ Tuharakishe utafiti kuhusu vifaa vipya vya kukinga na kutibu VVU, ikiwa ni pamoja na njia mpya kama vile tiba ya kuzuia maradhi kabla ya kuambukizwa (PrEP) na vizuizi vya vijiumbe maradhi na utoaji bora wa kile tunachojua kinafanya kazi ipasavyo; kuanzia kondomu mpaka matibabu kama kinga.

Tuongeze utafiti wa dawa ya chanjo na dawa ya kuponya. Utafiti ni muhimu kwa kutusaidia kupigana na janga hili.” Tayari Dawa ya Kupunguza Makali ya VVU (ARV) ya Truvada iliyonza kutumika duniani tangu 2004, wiki chache zilizopita ilithibitishwa na Mamlaka ya Chakula na Dawa Marekani (FDA), kuwa ina uwezo wa kuzuia mtu aliyeathirika kumwambukiza mwenzi wake atakayeshiriki naye tendo la ndoa bila kutumia kondomu. Zipo aina kadhaa ya dawa za chanjo na tiba zilizowasilishwa kwenye mkutano huo pamoja na ushahidi wa jinsi zinavyoponya lakini bado hazijathibitishwa kutumika kimataifa.

Thursday, August 2, 2012

CREATIVITY.......!!!

THE WAY  TO GET GOOD IDEAS IS TO GET LOTS OF IDEAS AND THROW THE BAD ONES AWAY...says the son of maletho!!!
PEACE... Peace of mind attained not by ignoring problems but by solving them....

Diaspora Writer"Muimbaji Chameleon kutoka Uganda ni Mwizi sana Hapa Uingereza amesha tapeli watu kishenzi,,,,,

Muimbaji chameleon kutoka Uganda ni mwizi sana .Hapa Uingereza amesha tapeli watu kishenzi staili hio hio na maneja wake. Ni mchezo wake.Akirudi hapa UK anaweza kupigwa mawe.Bangi zina msumbua tuu.Yeye ninani mtu amabe hawezi kumuheshimu mwakilishi wa Rais wetu Uganda -Balozi wetu pale kampala.Nashanga serikali ya Uganda wamemsikiliza na kuifanya hii ishu itake kuharibu uhusiano mkubwa kati ya nchi hizi mbili.Hivyo chameleone mnamjua ? juzi kawa muislam kesho yake karutadi tena .Bangi haziwezi zina mpelekesha. Anafaa kua jela maana ni msani jambazi.Huko kampala na sikia wamesha rushiana risasi na msani Bobby wine. Naomba watanzania wote tumzomeye chameleon na asirudi tanzania tena kwa tabia yake tena . Hon membe tunaomba hili ulifanyie kazi kwamba wageni hawezi kuja na wakatu abuse hata nyumbani kwetu. Bwana Erik nawe usije uka shika pasport ya mtu ni document ya serikali wala sio mtu binafsi
Ahsante
Diaspora writer

Sunday, July 29, 2012

WABUNGE MAFISADI WATAJWA.....

SPIKA AVUNJA KAMATI YA NISHATI, WAZIRI AELEZA WALIVYOITAFUNA TANESCO.....
WAKATI wabunge wakitoa tuhuma nzito dhidi ya wenzao wanaodaiwa kujihusisha na ufisadi ndani ya Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), imebainishwa kuwa wabunge wenye tabia hiyo ni watano, watatu kutoka chama tawala CCM na wawili upinzani.

Habari zilizopatikana jana mjini Dodoma zimeeleza kuwa baadhi ya wabunge hao wanatoka katika Kamati ya Bunge ya Nishati na Madini, huku wengine wakitoka Kamati ya Bunge ya Hesabu za Mashirika ya Umma.

Kwa mujibu wa taarifa hizo, wabunge hao wamedaiwa kuwa wamekuwa wakitumia nafasi zao za ubunge na ujumbe wa kamati kufanya biashara na Tanesco na kutetea mafisadi ndani ya shirika hilo la umma.

Gazeti hili limefanikiwa kupata majina ya wabunge hao, ambayo leo hatutayataja kwa sababu za kitaaluma.

Baadhi ya wabunge waliochangia hoja hiyo bungeni juzi na jana walisema kuwa, wanawafahamu wabunge hao kwa majina, lakini hawapendi kuwataja kwa kuwa siyo wakati mwafaka.

Moto wa kutaka kutajwa kwa majina ya wabunge hao ulikolezwa jana na Mbunge Vita Kawawa wa Namtumbo(CCM) aliyeomba Mwongozo wa Spika, akitaka jambo hili lijadiliwe na Bunge na kupendekeza kuwa, Kamati za Bunge zinazotuhumiwa kwa rushwa zivunjwe.

“Waheshimiwa wabunge wamejadili suala hili kwenye wizara, lakini kwa mujibu wa kifungu cha 55 (3)f mbunge au waziri anaweza kutoa hoja ili jambo fulani lijadiliwe. Sasa naomba kutoa hoja ya kujadili suala hilo," Kawawa alisema.

Aliliomba pia Bunge likubali kuivunja na kuiunda upya Kamati ya Nishati na Madini na kamati nyingine zilizolalamikiwa kwa rushwa. Hoja hiyo iliungwa mkono na wabunge.

Baada ya hoja hiyo kuungwa mkono Spika wa Bunge, Anne Makinda alisimama na kukubali hoja hiyo ya Kawawa na kutangaza kuivunja Kamati ya Nishati na Madini.

Spika Makinda alisema ameiagiza Kamati ya Haki, Kinga na Maadili ya Bunge kutengeneza kanuni za kuwadhibiti wabunge wenye tabia hiyo ya kupokea rushwa kutoka kwa watu mbalimbali ili kutimiza matakwa yao binafsi.

"Ninakubali kuivunja Kamati ya Nishati na Madini na zingine ambazo zitatajwa kwenye tuhuma hizo. Nalipeleka pia suala hilo kwenye Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge, halafu kama ni kutajwa (wabunge hao), basi tutapata mwongozo wa kamati hiyo." alisema Spika Makinda na kuongeza:

"Nasema kwa dhati kabisa, kitendo hiki hakikubaliki ndani ya Bunge hili. Wabunge mkae vizuri. Kama kuna baadhi yetu wanaenda huku na huku kujitafutia masilahi binafsi, tutawezaje kuisimamia Serikali?"

Mbunge Zedi
Baada ya Spika kutangaza kuvunja Kamati ya Nishati na Madini, Mwenyekiti wa Kamati ya Nishati na Madini, Seleman Zedi alisema kuwa ameshtushwa na uamuzi huo na anasubiri uamuzi wa Kamati ya Haki, Kinga na Maadili ya Bunge.

"Nimeshtushwa sana na uamuzi huo, lakini tusubiri Kamati ya Haki, Kinga na Maadili ya Bunge," alisema Zedi.

Waziri Muhongo
Akihitimisha hoja ya wizara yake bungeni jana, Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo alisema kuwa baadhi ya wabunge ambao wanashiriki kwenye vikao vya uamuzi vya Tanesco kama wajumbe, wamekuwa wakilihujumu shirika hilo kwa njia mbalimbali ikiwamo kufanya nalo biashara.

"Shirika liliwahi kulipa Pauni za Uingereza 50,000 kwa ajili ya kununua vipuri, lakini kilicholetwa nchini ni masanduku ya misumari,” alisema Profesa Muhongo na kuongeza;

“Hata katika nguzo za umeme kuna biashara inaendelea. Tunajua kuwa nguzo hizo zinazalishwa Iringa na kupelekwa Mombasa kisha kurudishwa nchini kwa maelezo kwamba zimetoka Afrika Kusini."

Waziri Muhongo alisema kuwa mbali na ufisadi huo, baadhi ya wabunge ambao ni wajumbe wa Kamati ya Nishati na Madini wamewahi kuliuzia shirika hilo matairi ya magari kwa bei kubwa, bidhaa ambayo hata hivyo alisema haina ubora unaokubalika.

"Baadhi ya wabunge wanafanya biashara na Tanesco; niseme tu kuwa, hii siyo sahihi. Lakini niombe kwamba mjadala huu tuufunge kwa sababu, tayari tumekabidhi suala hilo kwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG)" alisema Waziri Muhongo.

Waziri Muhongo pia alizungumzia jinsi baadhi ya watu na kampuni zinavyoiibia Tanesco kupitia mita za Luku ambapo aliwataja watu hao kuwa ni pamoja na Shule za St. Mary's zinazodaiwa Sh10.5 milioni, Access Bank, Tawi la Tabata Matumbi Sh13.8 milioni na Hoteli ya Akudo Paradaise ya Kariakoo inayodaiwa Sh25.5 milioni.

Alisema kuwa baada ya kubainika kwa wadaiwa hao hutumia umeme kinyume na utaratibu,wahusika wote walikamatwa na kufikishwa kituo cha polisi baada ya kufanyika kwa uchunguzi.

“Baada ya kufanya uchunguzi na kubaini kuwapo kwa watu wanaotumia umeme bila kulipia na kuisababishia Tanesco hasara, tumeamua kuwachukulia hatua ikiwamo kuwafikisha polisi,” alisema Profesa Muhongo na kuongeza:

“Inaonyesha wazi kwamba wizi wa umeme wa Luku umekuwa ukifanyika mara kwa mara na kwamba baada ya kuwakamata hawa, uchunguzi utaendelea na wengine watakaobainika watachukuliwa hatua za kisheria.”

Jenista Mhagama

Katibu wa Wabunge wa CCM, Jenista Mhagama alisema kuwa, amepokea kwa masikitiko taarifa hizo za wabunge wa CCM kuingia katika tuhuma hizo, lakini akasema namna nzuri ya kushughulikia tatizo hilo ni vyombo vya dola kufanya uchunguzi makini ili kujiridhisha na kisha hatua za kisheria kufuatwa.

"Ni taarifa mbaya kwa kweli, lakini mimi niiombe Serikali itusaidie kufanya uchunguzi ili ukweli ubainike na hatua zichukuliwe," alisema Mhagama.

Mbunge Silinde
Naye Katibu wa Wabunge wa Chadema, David Silinde alisema: "Kwa kuwa tumesikia, kama kambi tutafanya uchunguzi juu ya tuhuma hizo. Tutakaa kikao cha kuamua nini cha kufanya. Pia tutatoa tamko juu ya mwenendo mzima wa hizi tuhuma na Bunge kwa ujumla.”

Zitto
Naye Mwenyekiti wa Kamati ya Mashirika ya Umma ambayo imeunganishwa kwenye tuhuma hizo, Zitto Kabwe, alisema tuhuma hizo anazisikia, lakini anaziona kama siasa za majitaka kwa sababu zinarushwa bila ushahidi wowote.

"Hakuna hata mbunge mmoja aliyesimama kusema nani amehongwa nini. Mimi binafsi sijahongwa na mtu yeyote wala mimi sijamtetea mtu isipokuwa natetea taratibu kufuatwa," alisema.

Zitto alibainisha kuwa anaamini tuhuma hizo zimetokana na hasira za yeye kupinga posho za wabunge na sasa wameona hilo ndilo eneo la kumkomoa.

"Kwa kuwa ‘my conscious is clear’, (dhamira yangu safi) sina mashaka, uzushi, uongo na siasa za majitaka hizi zitaumbuliwa na ukweli. Hata hivyo, kwa kuwa tuhuma hizo zinasemwa juu juu tu, tutataka vyombo vya dola vichunguze na ikithibitika hatua zichukuliwe," alisema na kuongeza:

"Kwangu mimi naona hizi ni siasa za urais na hasira za posho. Wenye kutaka urais wa vyama vyote na wapambe wao, wameungana kunichafulia heshima yangu. Wabunge wenye njaa ya posho, wameungana kunikomoa. Ukweli una tabia ya kutopenda kupuuzwa. Mwalimu Nyerere (Julius) alisema katika andiko lake la 'Tujisahihishe'.”

Mbunge huyo wa Kigoma Kaskazini(Chadema) alishauri pia Spika wa Bunge kutumia Kamati ya Maadili kuchunguza tuhuma hizo kwa kuwa hazipaswi kuachwa zikapita hivihivi.

John Cheyo
Mwenyekiti wa Kamati ya Hesabu za Serikali, John Cheyo alisema anasikitika kuona Bunge ambalo kimsingi ni kitovu cha uadilifu limeanza kuvamiwa na mafisadi.

"Very unfortunate, (bahati mbaya sana) Bunge ambalo ni kilele cha uadilifu, nyumba ya waheshimiwa, ambako kunatarajiwa high level of intergrity (uadilifu wa hali ya juu), kuanza kutumika kama perpets (vibaraka) wa mafisadi," alisema.

Cheyo aliongeza: "Ninalaani sana kitendo hicho, lakini niwaambie viongozi wapya wa Wizara ya Nishati na Madini kuwa, waendelee kufanya kazi kwa uadilifu na nguvu yao ni wabunge wengi wema, ambao watawaunga mkono. Wasikate tama," alisema.

Mjadala ya wabunge

Mbunge wa Maswa Magharibi (Chadema), John Shibuda aliliomba Bunge kufanya uchunguzi ili kuwabaini wabunge wanaojihusisha na vitendo vya rushwa.

Alisema baadhi ya wabunge wanatumia nafasi zao vibaya kwa kujihusisha na vitendo vya rushwa ili kuiyumbisha Serikali.

“Namwomba Spika na timu yake yote ikaona kuna haja ya kufanya uchunguzi kwa wabunge ili kuweza kuwabaini wanaotumia nafasi zao vibaya kwa kujihusisha na vitendo vya rushwa ilikuiyumbisha Serikali ,” alisema Shibuda

Mbuge Kangi

Naye Mbunge wa Mwibara, Kangi Lugora alitaka Waziri wa Nishati na Madini awataje wabunge aliowatuhumu ili kuonyesha usawa hasa baada ya kuwataja kwa majina watuhumiwa wengine katika ufisadi wa Tanesco na wale wanaoliibia umeme shirika hilo la umma.

"Tunaomba waziri asema kwa nini asiwataje hao wengine wakati tayari ametutajia kina Freddy na Veronica William Mhando na taasisi za St Mary? " alihoji.

Hoja hiyo ya Lugora ilitupwa na Spika wa Bunge Anne Makinda aliyesema kuwa jambo hilo lina taratibu zake.

Kamata
Vicky Kimata (Viti Maalumu) nusura amwage machozi bungeni juzi jioni, alipozungumza kwa uchungu kupinga hatua ya wabunge hao kujihusisha na ufisadi, huku akieleza kuwa nchi imefika pabaya.

'Watanzania tumefikia hapo! Watu wanatengeneza mgawo wa umeme ili kujipatia hela, Jamani...jamani.. Hammwogopi hata Mungu!"

Said Mussa Zuberi alipendekeza itungwe sheria ya kuwanyonga mafisadi na wahujumu uchumi kwa kuwa matendo hayo pia ni uuaji.

"Katika taifa letu tuna wadudu sijui tuwaite mchwa ambao wanaharibu yaliyotengenezwa kwa maslahi yao. Nawashauri wananchi kwa kuwa sasa tuko kwenye suala la Katiba, wasisahau kupitisha sheria ili watu wahujumu uchumi tuwaue, tena kwa risasi.

Monday, July 23, 2012

Dar Talk" Video ya Utupu ya Agness Masogange yavuja Mtandaoni......

BAADA ya kuandamwa na skendo kibao za kutoka na vigogo kisura wa video za wasanii wa bongo,Agnes Gerald maarufu kama Agnes Masogange, ameonekana kwenye mkanda wa picha ya ngono ambao umesambaa mtaani huku ikiwa dili kwa watu wanaotaka kuona umbo la mwanadada huyo.

Mkanda huo unaomuonesha mwanadada huyo akiwa mtupu, huku utata mkubwa ukizunguka kujua ni kitu gani kilichosababisha hadi kusambazwa kwa video hiyo.

Agnes katika pozi

Mtandao wa DarTalk, ulifanikiwa kupata video hiyo ambayo mwanadada huyo ameonekana na kijana mmoja ambaye bado hajafahamika jina lake. Baadhi ya videos za bongo flava ambazo amewahi kuong’aa ni pamoja na ‘Magube gube’ ya Barnaba , Masogange ya Belle9 na nyingine nyingi.

Baada ya kupatatikana kwa video hiyo mtandao huu ulijaribu kumsaka Agnes ili kufafanua uwepo wake ndani ya video hiyo lakini hakuweza kupatikana kwenye simu yake ya mkononi.

Watanzania 100 wafungwa China.....................

UKAHABA na usafirishaji wa dawa za kulevya unaofanywa na baadhi ya Watanzania ni moja ya dosari zinazotia doa uhusiano kati ya Tanzania na China.

Watanzania zaidi ya 100 wako kwenye magereza ya China wakitumikia vifungo kwa makosa ya kukutwa na dawa za kulevya, huku wasichana wanane wakirejeshwa nyumbani siku chache zilizopita kutokana na ukahaba.

Balozi wa Tanzania nchini China, Philip Marmo alibainisha hayo mwishoni mwa wiki iliyopita katika mkutano uliofanyika nyumbani kwake jijini hapa.

Mkutano huo uliambatana na chakula cha mchana, ukiwa ni maalumu kwa ajili ya Watanzania waliokuwa wakihudhuria Mkutano wa Tano wa Mawaziri wa Ushirikiano kati ya China na Tanzania (FOCAC) uliofanyika Alhamisi na Ijumaa wiki iliyopita.

Mkutano huo ulihudhuriwa pia na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Gregory Teu, Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, John Haule na wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Balozi Herbert Mhango.

Aidha, walikuwapo watendaji wakuu kadhaa wa mashirika ya umma, taasisi za umma, sekta binafsi na wafanyabiashara wa Tanzania. Balozi Marmo alisema Tanzania inajivunia uhusiano wa muda mrefu na China tangu miaka ya sitini, ilipofungua ubalozi wake Aprili 26, 1964, lakini katika siku za karibuni umekumbwa na dosari hizo mbili. “Kwa kweli hili la dawa za kulevya, linaumiza vichwa sana.

Hapa ukiwa na dawa za kulevya hufiki popote, wako makini sana. Ukikamatwa hakuna msamaha, adhabu kubwa ni kifo, kwao ni kosa kubwa,” alisema.

Balozi Marmo aliongeza: “Dawa za kulevya kwao ni suala la usalama wa Taifa, ni vigumu kuanzisha mjadala katika suala hili. Katika siku za karibuni, kumekuwa na ongezeko la vijana wetu wanaoshughulika na mihadarati.”

Alisema cha kushangaza vijana hao wanapokamatwa, pasipoti zao huonesha kuwa hawatoki Dar es Salaam, bali katika miji mingine duniani.

“Halafu si kwamba hawa wanaokamatwa wanatoka Dar es Salaam, hapana … utakuta wanatoka Istanbul, Ankara, Rio de Janeiro, Pakistani; baadaye, ndio unajua wanasema tunatoka Kinondoni, Magomeni Mapipa, Tanga, Zanzibar na Kigoma,” aliongeza Balozi.

“Hivi sasa wako Watanzania zaidi ya 100 katika jela za China. Masikini wanatumiwa tu, wengine na wafanyabiashara wakubwa tu, wengine watoto wa wakubwa,” alibainisha zaidi Balozi Marmo. Alisema dosari nyingine katika siku za karibuni, ni wasichana kutoka Tanzania kujihusisha na biashara ya ukahaba China.

“Kuna hili la wanawake wetu kujihusisha na ukahaba … hapa haikubaliki, tayari wapo wanane wanarudishwa nyumbani, wamepewa siku nane za hifadhi kabla ya kuondoka,” alisema Balozi Marmo. “Wenyeji wanatuheshimu, wenzao wa Kenya na Uganda wamepewa siku tatu tu. Kwa kweli, hali hii inaharibu uhusiano wetu mzuri na China.”

Alisema Wachina wanaipenda sana Tanzania na wanaiona Tanzania kuwa sehemu nzuri ya kuwekeza na kufanya biashara, hivyo ni vyema fursa hiyo ikatumiwa vizuri badala ya kuchafua jina la nchi.

Alikerwa pia na alichoeleza kuwa ni biashara ndogo zinazofanywa na Watanzania, hasa wanawake kwa kubeba mabegi, badala ya kuchangamkia biashara kubwa na wenzao wa Taifa hili la Asia.

“Biashara tunazofanya ni ndogo sana, akinamama wanabeba mabegi tu, hii si biashara. Tulipaswa kufanya biashara ya makontena kupeleka nyumbani,” alieleza Balozi Marmo ambaye yuko Beijing takriban miezi mitatu sasa tangu ateuliwe kushika wadhifa huo.

Balozi Marmo aliwataka Watanzania kutumia urafiki na uhusiano mzuri kati ya Tanzania na China kufanya biashara kwa manufaa yao na Taifa. Mwito huo uliungwa mkono na mawaziri Membe na Teu ambao waliwataka wafanyabiashara hao na Watanzania kwa jumla, kuchangamkia fursa zinazopatikana China.

Katika miaka ya karibuni, China imekuwa mshirika mpya wa mataifa ya Afrika katika maendeleo, na imekuwa ikifadhili miradi mingi kuanzia elimu hadi masuala ya michezo na utamaduni.

Monday, July 2, 2012

Gari La Jackline Wolper Lakamatwa...........

LILE gari la kifahari aina ya BMW X6 lenye namba za usajili T 574 BXF linalomilikiwa na staa wa sinema za Bongo, Jacqueline Wolper Masawe limedakwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA).
Kwa mujibu wa ofisa mmoja wa TRA ambaye hakutaka jina lake lichorwe gazetini, gari hilo la kisasa lilikamatwa Juni 28, 2012 kupitia Kampuni ya Mnada ya Majembe kutokana na sababu kadha wa kadha.

SABABU ZAANIKWA
Akiendelea kufunguka, afisa huyo alisema kuwa sababu ya kwanza ni kuhisiwa kuwa gari hilo liliingizwa nchini kinyemela kutokana na vielelezo vyake vya kwenye kadi kupitia kwenye vyombo vya habari, ndipo taa nyekundu ikawaka ndani ya vichwa vya maafisa wa TRA na kuanza kulifuatilia.
Alidai kuwa mbali ya kuingia nchini kinyemela, lakini BMW hilo halijalipiwa ushuru zaidi ya miaka mitano iliyopita kwa mujibu wa vielelezo vyake.

MPANGO WA KULIKAMATA ULIVYOSUKWA
Kwa mujibu wa ofisa huyo, ili kufanikisha zoezi la kulikamata gari hilo, vijana kutoka kampuni ya Majembe waliingia mzigoni kulisaka ambapo kuna mtu alipiga kambi jirani na makazi ya Wolper, Mbezi Beach jijini Dar.
Ilisemekana kuwa vijana hao walikuwa na kazi moja tu, kuhakikisha anapotoka Jack wanamfuatilia hatua kwa hatua hadi mahali atakapokwenda kupiga kambi na kulitia mikononi.
“Haikuwa kazi rahisi maana muda mrefu alikuwa haonekani nalo, ndipo mpango huo ulipokuja kukamilishwa kwa njia ya kumfuatilia anapotoka kwake hadi mahali lilipokamatwa maeneo ya katikati ya Jiji la Dar,” alisema.

Akaendelea kudai: “Unajua hawa mastaa wetu kuna vitu wanavifanya bila kujua madhara yake, kitendo cha Wolper kuonesha kadi ya gari kwa waandishi wa habari huku anafahamu ina mapungufu kibao ndiyo sababu kuu ya gari hilo kuanza kufuatiliwa.”

MH! ETI USHURU MILIONI 70?
Taarifa nyingine ya kushtua ni kwamba ilidaiwa kuwa kuwa TRA peke yake inadai Sh. milioni 70 za ushuru.
“Si fedha ndogo zinazodaiwa na TRA, kwa hesabu ya harakaharaka ni zaidi ya Sh. milioni 70 ambazo zinatakiwa kulipwa.”
Baada ya The Biggest IQ Paper, Ijumaa Wikienda kujiridhisha kuwa gari hilo limedakwa, lilimuendea hewani Wolper lakini hakuweza kupokea simu hadi gazeti linakwenda mitamboni.

Picha za Harusi Ya Msanii wa Bongo Flava Black Rinho....

BIG UP RHINO....MTOTO MZURI!!!!

Wanafunzi wasema kuuza Rambo kunalipa sio shule.........

BAADHI ya watoto wanaostahili kwenda shuleni kuhudhuria masomo, wamekuwa ni kero kwenye masoko mbalimbali jijini Arusha kutokana na kuuza mifuko ya plastiki maarufu Rambo.

Aidha, watoto hao wamedai uuzaji wa rambo hizo kunalipa zaidi badala ya kuhudhuria masomo yasiyo na manufaa kwao na wengine wanalinda magari ya wananchi wanaofika sokoni kununua mahitaji yao.

Mwandishi wa habari hii alitemb
elea soko la Kilombero na Soko Kuu na kukuta watoto hao wanaostahili kwenda shule nyakati za asubuhi wakikimbilia wateja na kuwauzia mifuko ya Rambo kwa Sh 100 kisha kung’ang’ania kubea mizigo isiyoendana na uzito/umri waliokuwa nao.

Mmoja kati ya watoto hao, Emmanuel Joel (11) alisema anasoma darasa la tatu katika shule ambayo hakutaka kuitaja, lakini kutokana na mazoea ya kuuza mifuko hiyo na kupata faida zaidi, ameona shuleni hatapata maendeleo na kuamua kujikita kwenye biashara hiyo ili apate fedha za kujikimu.

Alisema familia yao sio duni, lakini anauza mifuko hiyo kutokana na kupata fedha na asubuhi anavaa nguo za shule na kwenda shule, lakini akifika eneo fulani anajificha kisha anabadili nguo na kwenda sokoni kuuza mifuko hiyo na muda wa kurudi shule ukifika anakwenda nyumbani kama kawaida.

“Mazaa hii kazi inalipa kuliko masomo hivyo nimeona bora niifanye ili nipate fedha nikiuza mifuko yote napata faida ya shilingi elfu mbili au elfu mia tano kwa siku na nikibeba mizigo, bei ni maelewano kati yangu na mwenye mizigo hivyo ndio maisha kwani sioni sababu ya kusoma wakati napata fedha,” alidai.

Hata hivyo, jitihada za Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Jiji la Arusha, Estomih Chang’a za kutoa matangazo yanayowataka watu wazima kutoajiri watoto au kununua Rambo zinazouzwa na watoto hao, zimegonga mwamba kutokana na watoto hao kufanya biashara kama kawaida ingawa matangazo wanayasikia.

Vigogo wa Suma JKT kortini kwa ufisadi........

ASKARI saba wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) wakiwamo Luteni Kanali watatu, wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam wakikabiliwa na mashitaka ya kuhamisha na kupitisha Sh bilioni 3.8 kwa ajili ya ununuzi wa mali chakavu. Washitakiwa hao walifikishwa mahakamani hapo jana asubuhi na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), wakiwa kwenye gari aina ya Toyota Land Cruiser lenye namba za usajili T529 ASM lenye vioo vyeusi wakisindikizwa na gari lenye namba DFP 8763. Walisomewa mashitaka saba na mawakili kutoka Takukuru, Donasian Kessy na Ben Linkolin mbele ya Hakimu Mkazi Aloye Katema. Washitakiwa wenye cheo cha Luteni Kanali ni Mkohi Kichogo, Paul Mayavi na Felix Samillan ambaye ni Mkuu Miradi wa Suma JKT. Wengine ni Kanali Ayoub Mwakang’ata, Sajini John Laizer, Meja Peter Lushika na Meja Yohana Nyuchi. Wakili Kessy alidai kuwa, Machi 5, 2009 katika Ukumbi wa Mikutano wa Shirika la Suma JKT, washitakiwa wakiwa wajumbe wa Bodi ya Suma JKT, walijifanya wajumbe wa Bodi ya Kampuni ya Takopa inayoundwa kwa ubia kati ya Serikali ya Korea Kusini na Suma JKT. Alidai lengo la kujifanya wajumbe wa Bodi ya Takopa, lilikuwa kupitisha fedha kutoka kampuni hiyo kwenda Suma JKT kwa ajili ya ununuzi wa magari na mitambo ya ujenzi chakavu bila idhini ya Bodi ya Wakurugenzi wa kampuni hiyo. Wakili Kessy alidai kuwa washitakiwa walitumia vibaya ofisi kupitisha fedha hizo kwa ajili ya ununuzi wa magari pamoja na mitambo hiyo bila kufuata kifungu cha 58 (3) cha Sheria ya Manunuzi ya Umma. Aliendelea kudai katika mashitaka ya tatu yanayowakabili Luteni Kanali Samillan na Luteni Kanali Kichogo kuwa, Machi 16, 2009 walihamisha Sh bilioni 2.8 kupitia hundi namba 000010 kutoka akaunti ya Takopa namba 0111030331753 kwenda akaunti ya Suma JKT 01110307094 katika Benki ya Taifa ya Biashara (NBC). Ilidaiwa kuwa Aprili 3, 2009, wakijidai wajumbe wa Bodi hiyo ya Takopa walihamisha Sh milioni 489.7, Aprili 4 walihamisha Sh milioni 269.5, Mei 4, mwaka huo walihamisha Sh milioni 350 kutoka akaunti ya Takopa kwenda akaunti ya Suma JKT bila kuzingatia Kanuni ya 156 ya Sheria ya Fedha za Umma. Katika mashitaka ya saba yanayowakabili washitakiwa wote, ilidai kuwa kati ya Machi na Mei mwaka 2009 jijini Dar es Salaam, washitakiwa walipanga njama za kuhamisha fedha kutoka katika taasisi ya Takopa kwenda kwenye akaunti ya Suma JKT bila kufuata Kanuni 156 ya Sheria ya Fedha za Umma. Washitakiwa wote walikana kutenda makosa hayo na upande wa mashitaka ulidai kuwa upelelezi wa kesi hiyo umekamilika na kuwa hawana pingamizi la dhamana endapo washitakiwa watakidhi masharti yatakayotolewa na Mahakama. Hakimu Katemana aliwataka washitakiwa kuwa na wadhamini wawili wa kuaminika watakaosaini hati ya Sh milioni 25 kila mmoja. Washitakiwa walitimiza masharti na kuachiwa kwa dhamana hadi Agosti mosi, mwaka huu. Hata hivyo, baada ya washitakiwa hao kufikishwa mahakamani hapo, hawakuwekwa mahabusu kama ilivyo kawaida kwa washitakiwa wengine, walikaa kwenye gari hadi saa 7 mchana waliposomewa mashitaka yao.

Saturday, June 30, 2012

Bob Junior kufunga ndoa Billicanas July Mosi......

Mwanamuziki na producer anayemiliki studio ya Sharobaro Records, Bob Junior aka Mr. Chocolate Flava, ameamua kufungua ndoa kwa style ya aina yake.
Amesema harusi yake itakayofanyika jumapili ya tarehe moja mwezi July mwaka huu, pamoja na kufanyika nyumbani itatinga ndani ya club ya Billicanas ambapo kila mtu anaruhusiwa kuhudhuria.
Rais huyo wa masharobaro amesema wiki hii atapanda boti hadi Zanzibar kwenda kumfuata ‘mwali’ ili aisaliti rasmi kambi maarufu ya makapela.
Bob Junior anayesifika kwa kukata ‘mauno’ kwenye video zake, amesema amechoka kuishi maisha ya ujana na sasa anahitaji kuwa na familia.
“Tunapiga show kila siku na kupata hela nyingi kwanini nisioe,” aliiambia 255 ya Clouds Fm jana.
Aliongeza kuwa dhumuni la kuamua kuoa ni kuepukana na vishawishi na maradhi kwakuwa watu maarufu kama yeye hujikuta wakitafutwa sana na wasichana.
Kila lakheri Bob Junior.

Wednesday, June 27, 2012

BELL9 NA BEN POL WATOA NYIMBO MPYA...

Nyimbo inaitwa ANAYEISHI NAE...its good sana find it and listenig it soon iwill keep it on my blog...THEY SHINE MEN...SAFI BELL9 NA BEN...great job!!!!

Mwana FA atangaza Vita na Wezi.....

“Next time nikikuta watu wanapiga mwizi na mtu akanizuia nisishiriki ntaanza na yeye kwanza” ni tweet ya Hamisi Mwinjuma aka MwanaFA iliyokuwa imeambatanishwa na picha ya gari lake lenye namba T 809 PMB ikiwa imenyofolewa taa zote za mbele na nyuma. Wizi huo umefanyika usiku wa tarehe 24june.. na inavyoekena ni kuwa wezi walipanda na kuvuka geti kimya kimya, kwa raha zao wakanyofoa taa na kuingia ndani kuchukua radio. Ile MwanaFA kuamka asubuhi ndo akakuta tayari wajanja wameshamliza kiasi cha kuamua kutangaza vita na wezi. Hivyo kama ukikuta MwanaFA anashiriki kumponda ‘vitofa’ mwizi aliyekamatwa street baada ya kuiba, kamwe usishangae, usimuulize na usimzuie sababu ataanza na wewe! Pole sana Binamu! Hata hivyo wezi hao hawaikuiharibu ratiba ya usiku wa kuamkia leo ya Binamu. Ratiba yake ilianzia pale the so-called ‘Uwanja wa taifa wa burudani’ Dar Live ambapo aliperform ngoma yake mpya Ameen kwa mara ya kwanza. Baada ya Dar Live show ikahamia Maisha Club, “Dar Live Done..Beautiful..Maishani Sasa Kwa Ndege Mnana,” alitweet. Huko New Maisha Club alienda kumpa support mwanadada Linah Sanga aliyekuwa akifanya show yake ya kwanza tangu arudi kutoka kwenye ziara ndefu ya nchini Marekani. “What a show..Maisha I Loooooooooved you tonite!” aliandika alfajiri hii.

Baada ya kupata mtoto,Mr. Blue aongeza speed kumalizia mjengo wake...

Wiki iliyopita msanii wa kizazi kipya, maarufu sana nchini Herry Sameer aka Mr.Blue alijaaliwa kupata mtoto wa kiume aliyezaa na mchumba wake Wahida Mohamed. Kwakuwa huyo ndio mtoto wa kwanza, Kabayser aliamua kumpa jina lake mwenyewe yaani ‘Herry’. Funny enough siku tumempigia siku kuconfirm habari za kupata mtoto na kumuuliza kajaaliwa mtoto wa jinsia gani, Blue alijibu, “Ni jembe mshikaji wangu!!” akimaanisha mtoto wa kiume. So baada ya kuongeza jina jingine halali mjini la ‘Baba Herry’, Mr Blue amesema inabidi aongezee kasi ya kumalizia mjengo wake anaoujenga jijini Dar es Salaam ili yeye,Mama Herry na Herry wakae kwa raha zao pamoja. Alivyoongea na East Africa Radio siku zilizopita, Kabayser amesema baada ya miaka miwili nyumba yake inaweza ikawa imekamilika. Kwa sasa Wahida na Mr. Blue kila mmoja anaishi nyumbani kwao. Katika hatua nyingine siku chache baada ya kupata mtoto msanii huyo alisema mtoto wake akikua hapendi afanye muziki kama yeye kwakuwa hapendi awe maarufu. “Mimi ningependa mwenyezi Mungu amjalie awe mtu fulani ambaye kidogo atakuwa hata kiongozi kusaidia watu,” alisema.

UNAJUA ALIYE MTOA DIAMOND????nani yuko nyuma ya mafanikio yake!!check out!!!

DIAMOND NA RUGE AKIMPA MAELEKEZO!!! Ulishajiuliza kwanini Diamond yuko smart sana kwa namna anavyozipeleka issue zake za muziki? Hushangai iweje msaniii huyu ambaye wengi walitegemea awe na elimu ya chuo kikuu ndio aweze kuufanya muziki kwa umaridadi mkubwa kiasi cha kutochuja kwa show zake japo zinajipanga kama mayai kwenye tray!
Well, wengi hili wanaweza kuwa wanalijua juu juu tu ama hawalijui kabisa kuwa the person behind Diamond’s music creativity is none other than Ruge Mutahaba!!
Yeah, habari ndio hiyo, hate it or love it.
Tangu show ya aina yake ya Diamonds Are Forever iliyowapa mkwanja mnene wa kuweka benki na kula bata, show ya Dar Live iliyompa sifa Diamond kwa kutua kwenye ‘Uwanja huo wa taifa wa burudani mpaka show ya Big Brother Stargame aliyoifanya mwaka huu. He (Ruge) was the mastermind!
Ameweza kumtengeneza Diamond kuwa bidhaa ya thamani isiyochuja.Hautakosea ukimwita Russell Simmons wa Tanzania. Kwa uzoefu alionao kupitia show zinazoandaliwa na kituo cha Clouds Fm, ameweza kuzijua ramani zote za kupitia ili kufanikiwa ‘kibiashara’ kwenye muziki wa Tanzania. He has the music map in the palm of his hands and never missed a shot!
Kuna mtu mmoja wa karibu sana na Diamond hivi karibuni ametuambia kuwa maandalizi ya show ya ‘Diamonds Are Forever ya pale Mlimani City yalichukua takribani wiki nzima. Ruge alikuwa akienda kila siku kuangalia maendeleo ya rehearsal and he was like, “mmh mmh! Hapo bado,ongezeni nguvu zaidi.”
Kwenye show ya hivi karibuni ya Miss Redds Tanzania huko Arusha, Ruge alionekana kwenye picha akimwelekeza Diamond namna ya kupiga kinanda na ngoma. Haijalishi kama anajua kupiga hivyo vitu ama la,hilo si suala letu, cha msingi ni kuwa ushauri wake unafanya kazi kwa Diamond.
And tell you what, hakuna mtu mwenye connection ya masuala ya muziki iwe ndani ya nchi ama nje kama Ruge! Hivyo kuchuja kwa Diamond katika ramani ya muziki wa kibiashara bado sana.

Ndani ya Mj-Recordz Diamond Akifanya Tangazo la Coca Cola...work hard man!!!GOOD!!!!...

Tuesday, June 19, 2012

MBUNGE WA UBUNGO...John Mnyika atolewa nje mbugeni leo..

KATIKA BUNGE LA BAJETI 2012/2013 katika mkutano wa nane katika hoja za serikali....
leo tarehe 19/6/2012 saa 12:00 mbunge wa ubungo john mnyika katika kuchangai maada alitoa kauli ya kusema "UDHAIFU WA RAIS KIKWETE", "UPUUZI NA UPUMBAVU WA WABUNGE/ NA WA CCM"katika kutoa hujo naibu spika aka muomba afute hyo kauli ila akasema hatoweza kufuta kwa kuwa anahoja ya kutete kuhusu hlo ila haikutosha waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu akismama na kusoma kifungu cha sheria ya bunge kuhusu maneno yaliyosemwa na john mnyika...ALL AT ALL mh mnyika akasimama na kusema kwel kauli yangu sitoi..ila naibu spika akasimama na kufuata sheria na kumtoa katika kikao cha bunge cha leo mpaka kesho saa tatu!!!
DAH....KWEL BUNGE LA SASA......NDIO BUNGE...TUPIA COMMENT IS IT RIGHT???

Monday, June 18, 2012

Bunge kuwaka moto wiki hii.......

MKUTANO wa nane wa Bunge la Jamhuri ya Muugano wa Tanzania unaingia katika wiki ya pili leo, huku kukiwa na kila dalili za kuwapo mjadala mkali wa hotuba ya bajeti iliyowasilishwa bungeni Alhamisi iliyopita na Waziri wa Fedha, Dk William Mgimwa.

Miongoni mwa mambo yanayotarajiwa kuiweka njiapanda Serikali ni suala la deni la taifa ambalo kwa mujibu wa bajeti iliyosomwa limefikia karibu Sh 20.3 trilioni Machi mwaka huu, kwani wabunge wanataka mchanganuo wa jinsi deni hilo lilivyofikia kiwango hicho.

Suala jingine ambalo linaweza kuzua mvutano ni kile wabunge wanachodai kuwa ni ukaidi wa Serikali kutosikiliza mawazo yao miaka nenda rudi kwa kutotenga fedha za kutosha kwa ajili ya maendeleo.

Katika bajeti yake ya 2012/2013, fedha za maendeleo zilizotengwa na Serikali ni asilimia 30, lakini wabunge wanataka kiwango hicho kiongezwe hadi asilimia 35 na matumizi ya kawaida yabakie 65.

Kadhalika bajeti hiyo, Serikali itakuwa na wakati mgumu kutokana na wabunge wengi kunusa ufisadi katika bajeti ya 2011/2012 kutokana na fedha kidogo zilizopelekwa katika wizara na idara za Serikali, ilhali taarifa za mapato ya nchi zikionyesha kwamba fedha nyingi zilikusanywa na Mamlaka ya Mapato (TRA) hadi asilimia 106.

Suala la kutokuwapo kwa uwiano kati ya mapato na matumizi ya Serikali, ndilo liliwasukuma baadhi ya wabunge wa CCM waliohudhuria kamati ya wabunge wa chama hicho Ijumaa iliyopita, kuibua hoja ya kutaka kuchunguzwa kwa mfuko mkuu wa Serikali kwa maelezo kwamba kuna dalili za kuwapo kwa ufisadi.

Uchambuzi rasmi wa bajeti hiyo utaanza kufanywa na Kamati ya Bunge ya Fedha na Uchumi kupitia maoni yake yanayotarajiwa kusomwa na Mwenyekiti wake, Andrew Chenge na kufuatiwa na Bajeti mbadala ya Kambi ya Upinzani, inayotarajiwa kuwasilishwa na Waziri Kivuli wa Fedha na Uchumi, Zitto Kabwe.

Chenge tayari alishasema kwamba, kamati yake imeelewana na Serikali kwa ahadi ya kurekebisha kasoro za kibajeti katika mwaka ujao wa fedha, lakini baadhi ya wabunge wa CCM katika kikao chao Ijumaa, waligeuka mbogo wakitaka marekebisho makubwa yafanywe.

Kadhalika baadhi ya wabunge hao wa CCM waliripotiwa kutohudhuria kikao hicho kukwepa kuwa sehemu ya makubaliano ambayo yangefikiwa na ‘kuwafunga midomo’ wakati wa kuchangia bajeti hiyo wiki hii.

Licha ya kutengwa fedha kidogo, pia wabunge kadhaa wa CCM na wale wa upinzani wanapinga matumizi makubwa ya Serikali na kupuuzwa kwa mpango wa Serikali wa kubana matumizi, hasa kupunguzwa safari za nje na za ndani za viongozi, kulipana posho, makongamano na mikutano.

Wakati wabunge wa CCM wakiendelea na mkutano wao Ijumaa, Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina alijitokeza mbele ya waandishi wa habari na kutangaza kwamba hataunga mkono bajeti hiyo na kwamba, yuko tayari kufukuzwa ndani ya CCM kutokana na hatua yake hiyo.

Hoja ya Mpina ni kutaka Serikali ifumue bajeti yake na aliahidi kwamba leo ataomba mwongozo wa Spika ili kutoa hoja ya kutaka bajeti isijadiliwe na badala yake Serikali ipate fursa ya kuifanyia marekebisho makubwa, ikiwa ni pamoja kuongezwa kwa fedha za miradi ya maendeleo kutoka asilimia 30 hadi 35 ya bajeti, pia kupunguzwa kwa matumizi yasiyo ya lazima.

Hoja hiyo ya kushauri bajeti kufumuliwa, pia ilijadiliwa katika kikao cha ndani cha wabunge wa CCM, ambapo Mbunge wa Mwibara, Alphaxard Lugola na Mbunge wa Kilindi, Beatrice Shelukindo, ambao waliungwa mkono na wabunge wengine kadhaa, walinukuliwa wakibainisha upungufu mkubwa uliopo ikiwa ni pamoja na fedha kidogo za miradi ya maendeleo.

Katika kikao hicho, pia wabunge hao, walieleza kutoridhishwa na utekelezwaji wa bajeti katika wizara nne, kutokana na kutengewa fedha kidogo, lakini miradi kutotekelezwa kwa wakati kama ambavyo ilikusudiwa.

Wizara ambazo zilitajwa ni pamoja na Nishati na Madini, Uchukuzi, Wizara ya Kilimo Chakula na Ushirika na Wizara ya maji.

“Katika Wizara ya Nishati na Madini kuna miradi ambayo ilipaswa kutekelezwa badala yake, wakati wa kipindi hiki cha mwisho cha maandalizi ya bajeti, zimekwenda kuwekwa nguzo tu, ili kuonyesha kuanza kwa miradi….Sasa jambo kama hili halifai,” Lugola alinukuliwa akisema ndani ya kikao hicho.

Kutokana na umuhimu wa mjadala wa bajeti, tayari wabunge kadhaa walishajiorodhesha kuchangia mjadala hata kabla ya bajeti kusomwa, lakini Naibu Spika, Job Ndugai alisema wiki jana kuwa kanuni za Bunge zinaruhusu wabunge kujiorodhesha kuchangia baada ya kusomwa bajeti.

THE HISTORY OF FREEMASON!!!!

1st: The Destruction of Kosovo's Churchs

they said that freemson is not a secret society but is the society of secret......

2nd:
Nazism and The New Age, Hitler and the Occult







Nazism and the New Age
While most Jews are sure that Hitler represented the Christian community, his associates knew better. In this section we see not only that Hitler rejected Christianity, but that there is also ample research showing that Hitler founded far more than a political regime - the Third Reich was an occult-based religious movement to usher in the same New Age examined in this series. [For documentation besides the Angeberts, see also D. Sklar, _The Nazis and the Occult_; Joseph Carr, _The Twisted Cross_; Robert G.L. Waite, _The Psychopathic God - Adolf Hitler_; Gerald Suster, _Adolf Hitler, The Occult Messiah_; Trevor Ravenscroft, _The Spear of Destiny_.]
The Nazi President of the Danzig Senate, Hermann Rauschning (who defected to the Allies and in 1939 wrote the book quoted above), recorded statements made by Hitler which are unintelligible except from a NA orientation. [The fact that Rauschning included quotes which he admitted he did not understand only adds to the credibility of his testimony, for these often turn out to be occultic references of the kind meant to be understood by fellow-initiates alone.]
[One of the best sources I have seen is the Angeberts' book quoted above. The strength of their work is ironically due to their positive attitude toward the occult: it appears they rather admire the "Ancient Wisdom" as expressed in Gnosticism, Catharism and other esoteric movements, and they trace its threads through history with nostalgia as well as academic interest. Their far-ranging documentation allows them to conclusively show that Nazism was/is an initiation into the classical Gnostic "path of enlightenment", but unlike me the authors do not fault the "Ancient Wisdom" itself for the infamous results. On the contrary, "the prime lesson to be learned is that the practice of occultism and magic is fraught with danger and, therefore, not to be entrusted to just anyone." (p.160) This book is valuable for its uninhibited look at the many movements and occultists - including unlikely names like Plato, Nietzsche, Goethe and Pythagorus - who shared Hitler's dream of the Holy Grail and a new-age return of the ancient Hyperborean godmen with their "sacred sciences". The English publisher is MacMillan (1974), McGraw-Hill (1975) in paperback.]
Hitler turned against Christianity from his early teens and sought his destiny in the occult. He later joined with associates who also embraced those teachings, and together they built a state guided by the same occultic principles and goals repeated in today's NA. And no wonder, because he drew on the same esoteric sources as the NAers of today. [How have so many scholars overlooked this all-important key to understanding the Nazi mentality? In the words of the Angeberts' English translator, Lewis A.M. Sumberg, nearly all historians missed the "militant neo-Paganism" and "Gnostic racism" in Nazism "because they have brought conventional outlooks and methodologies to their examination of an unconventional phenomenon." (_The Occult and the Third Reich_, p.x) We must either re-assess the Nazi philosophy with these roots exposed, or be forced to settle for theories which fail to completely explain Nazi priorities. Its unconventional nature lay in "magic thought allied to science and know-how" (Angeberts, p.179) - exactly the hybrid being encouraged today by NA leaders like Peter Russell. Sumberg's observation in 1974 about this blind spot among historians fell mostly on deaf ears, which makes it more difficult now - but more urgent than ever - to recognize that not only is Nazism not dead, we are now surrounded by a "kinder, gentler" version of the same philosophy, sprouted from the same roots and having the same priorities.]
1. Hitler and the Occult
According to available sources (see above), Hitler first made contact in 1909 with other occultists, the first of these being Goerg Lanz von Lieberfels and Guido von List, after coming across their occultic-racist magazine _Ostara_ in Vienna. (Sklar, p.5. For samples of the typical copy published in _Ostara_, and how Hitler later echoes it, see p.17-22) Besides his publishing activities, Lanz was known for starting a society called the "Order of New Templars" which imitated the traditions of occultic Grail lore. (Angeberts, p.237) Lanz would later claim credit for influencing Nazi ideology - a claim which has some merit considering that one of his books was found in Hitler's personal library (now archived in the Library of Congress in Washington, DC). As for List, he founded the "Armanen", a Germanic pagan priestly order which apparently accepted Hitler into their brotherhood; evidence is in another occultic book from Hitler's library bearing an inscription from a comrade to Adolf, "my dear Armanen brother." (Sklar, p.48) Books by List were found stamped with the insignia of the SS Ahnenerbe (the Nazi Ancestral Research division), indicating that his teachings were studied by SS candidates. (As an aside, Angeberts note that the documents dealing with the Ahnenerbe itself, which they identify as "the Nazi Occult Bureau", are listed in the U.S. National Archives but for some reason are not available to researchers - p.259-260) Both Lanz and List were obsessed with blood purity, the Jewish threat, Grail legends and a "new world order". Both embraced the swastika as a central symbol, borrowing it from Hindu mysticism. [see comments below]
By 1913, Adolf had passed the novice stage in his occult pursuits. (Carr, p.95) In 1918 (age 29) he claimed to hear voices announcing that he was "selected by God to be Germany's messiah" (Carr, p.36); later he made contact with an "ascended master" whom he identified as Lucifer or "the beast from the pit". He eventually became convinced he was the reincarnation of Woden (or, Woton). At some point, he discovered two German occultists who eloquently expressed his own understanding of Aryan religion and destiny: Richard Wagner [details later] and Friedrich Nietzsche. These influenced Nazi thought so heavily that the authors of _The Occult and the Third Reich_ name them as "the two prime initiators of the Third Reich", (p.119) and devote two entire chapters to documenting this claim. To these can be added a third, who lived before Hitler and tried to weld Wagnerian and Nietzschean thought into one work: the British occultist Houston Stewart Chamberlain, who wrote in his epic _Foundations of the Nineteenth Century_ (1900): "Every Mystic is, whether he will or not, a born Anti-Semite." (Sklar, p.11)
Another occultist to influence Hitler's thinking was Dr. Karl Haushofer, who was introduced to Hitler in 1924 while the latter was in Landsberg prison. Haushofer, a Blavatsky disciple, combined a dubious "science" called "geopolitics" with Eastern mystical texts and _The Secret Doctrine_ principles, and claimed to have clairvoyant powers. It was Haushofer who schooled Hitler in _The Secret Doctrine_. (Carr, p.93) His geopolitical theories found their way into _Mein Kampf_. (Sklar, p.62) It was also Haushofer who forged Hitler's alliance with Japan basing his case on astrological predictions (Sklar, p.69), and who gave him the "Lebensraum" concept. As the Nazi conquest advanced, Haushofer applied his theories through prophecies which overruled the military leadership in directing troop movements. (Sklar, p.69) Besides Hitler, Haushofer had other prominent disciples: Rudolf Hess, later to become Hitler's secretary; and Anton LaVey, who gained notoriety in later years for his promotion of Satanism. LaVey dedicated his work _The Satanic Bible_ in part to "Karl Haushofer, a teacher without a classroom." (Sklar, p.63) Haushofer's fortunes fell, however, when his son Albrecht conspired in the 1944 coup against Hitler and was arrested; father Karl was sent to Dachau.
Hitler, like today's NA philosophers, firmly believed in the coming of a new species of humanity. Like modern New Agers, he expected them to be a literal "mutation" of homo sapiens, achieved by arriving at "higher levels of consciousness". He also believed that the new humanity would be free of "the dirty and degrading chimera called conscience and morality," as well as "the burden of free will" and "personal responsibility" which should rightly be borne only by the few with the fortitude to make the awful decisions necessary for the good of humanity. (Sklar, p.58)
Hitler's associate, Bernhard Forster (who happened to be Nietzsche's brother-in-law) related to Hermann Rauschning how Hitler had proclaimed that he "would bring the world a new religion,... the blessed consciousness of eternal life in union with the great universal life... when the time came. Hitler would be the first to achieve what Christianity was meant to have been, [without] any fear of death [or] the fear of a so-called bad conscience. Hitler would restore men to the self-confident divinity with which nature had endowed them." Forster then added his own opinion: "He drew his great power from intercourse with the eternal divine nature." (Sklar, p.54-55) [The reader should note the familiar "cosmic consciousness" vocabulary here, more appropriate to the founder of a religion than to a political schemer.]
The Nazi sacred symbols and concepts - the swastika or "gamma cross", the eagle, the red/black/white color scheme, and ancient Nordic runes (one of which became the insignia of the SS ) - were all adopted from occult traditions going back centuries, shared by Brahmins, Scottish Masons, Rosicrucians, Manichaeans and others. (Angeberts give detailed histories, p.194-200) The Nazi motto, "One Reich, One Folk, One Fuehrer", reflected the standard 3-fold power circles of the occult. (See a good example in Bailey's _Discipleship in the New Age_ II, p.165, where the Great Invocation is to be explained on three distinct levels.) The Reich was the psychic adepts of the Nazi Party, which would build the bridge between the Folk (the masses which unite into a cosmic Entity greater than its parts) and the Fuehrer (the initiates in the elite leadership which unite with Hitler, the divine incarnation). The outer fringe, the Folk, are taught what they can handle: blind obedience, group service, a new history and identity. The Party elite such as the SS are taught something different: psychic knowledge, tapping into the "Vril Force", self-denial, brotherhood mission, medieval lore, fearlessness of death. The innermost circle was privy to the hard-core Gnostic teaching on the Grail, immortality and godhood. Many neo-Nazi groups continue to pursue these topics with devotion. But under it all was the invisible presence of "Unknown Superiors" (Angeberts, p.178, quoting Rudolf Olden, _Hitler the Pawn_, written 1936. Rauschning used the same term - p.233) who taught Hitler himself and who were assumed by his associates to endow him with his uncanny hypnotic power.
Concerning Hitler's relationship with these Unknowns, there is not much known besides his reference to a guiding voice of "Providence". However, we do have a vivid account related by an unnamed associate of Hitler to Rauschning (both were not sure what to make of it), in which Hitler wakes up in the middle of the night in total panic at some unseen visitation: "Hitler was standing there in his bedroom, stumbling about, looking around him with a distraught look. He was muttering: 'It's him! It's him! He's here!' His lips had turned blue. He was dripping with sweat. Suddenly he uttered some numbers which made no sense, then some words, then bits of sentences. It was frightening. He used terms which were strung together in the strangest way and which were absolutely weird. Then, he again became silent, although his lips continued to move. He was given a massage and something to drink. Then all of a sudden, he screamed: 'There! Over there! In the corner! Who is it?' He was jumping up and down, and he was howling." (Rauschning, p.285-286) [Whatever the reader may conclude about the Unknown Superiors, whether a figment of a sick mind or real entities, please remember that both Nazi cosmology and NA religion view(ed) them as real and independent beings - and also as extensions of one's own untapped divinity. No provision is made in either system for the possibility of ascended beings who first seduce their channels and then torment them. Yet stories similar to the above are not uncommon in NA circles. From those who leave the New Age after such an experience, the verdict is uniform: the Guides are clever deceivers with evil motives. For those who stay, the solution is to blame oneself for the "bad trip" and blindly dive in deeper; this was apparently Hitler's choice.]
Hitler's personal devotion to occult principles was proven ultimately by his self-inflicted death. His choice of April 30 for his suicide may well have been meant as a sacrifice; it was the eve of Beltane (known in Germany as Walpurgisnacht), identified on popular Wiccan websites as a Druid feast in honor of the deity Bel. In witchcraft, this "power-point" day is regarded as a "great sabbat" equal in potency to Halloween. According to Wiccans, Bel is derived from the Canaanite Baal; but Helena Blavatsky goes farther in _The Secret Doctrine_ (vol.2), reconstructing an astrological trinity of Bel/Baal (sun-god, father), Christos (Mercury, son) and Lucifer (Venus, holy spirit). [more on the Lucifer connection in "Gods of the New Age"] As for Hitler's suicide itself, this was not a cowardly act from an occultist viewpoint, but rather an honorable practice known among the Druids, as well as among the Cathari "Perfects", those medieval guardians of the Grail, who called it the rite of "Endura". A curious requirement of the "Endura" was that it was always to be done by pairs of intimate friends, a detail known by the Nazis (Angeberts p.28) which makes sense of Hitler's joint suicide with his new wife Eva Braun. Incidently, Hitler's associates Karl Haushofer and Goebbels also killed themselves in ceremonial fashion along with their wives. (Angeberts, p.275, note 11)
2. Hitler and Christianity
Not only did Hitler regard Christianity as a defective, failed enterprise, he saw himself as replacing both its God and its Christ. At one of the huge Nuremberg rallies hung a gigantic poster of himself, with the caption stolen from the Christian gospel of John: "In the beginning was the Word." German youth were indoctrinated from infancy to pray to Hitler, who they were taught was sent from heaven to protect them. (Sklar, p.56) Nazi-approved sermons in German churches proclaimed, "Adolf Hitler is the voice of Jesus Christ." And lest some readers [especially Jews] should conclude from this that Nazi Christians viewed Hitler as the mouthpiece of the New Testament Jesus, the statement is clarified to leave no doubt: "If Jehovah has lost all meaning for us Germans, the same must be said of Jesus Christ, his son.... He [Jesus] certainly lacks those characteristics which he would require to be a true German. Indeed, he is as disappointing, if we read the record carefully, as is his father [the G-d of Israel according to Christian tradition]." ("What the Christian Does Not Know About Christianity", quoted by Sklar, p.56)
In Hitler's words, Christianity "only added the seeds of decadence such as forgiveness, self-abnegation, weakness, false humility and the very denial of the evolutionary laws of survival of the fittest [social Darwinism]," and would obviously be a handicap to the new species which he was personally commissioned by the "masters" to see properly birthed and nurtured. But Hitler perceptively placed the ultimate blame where it is due: "Conscience is a Jewish invention. It is a blemish, like circumcision.... There is no such thing as truth, either in the moral or in the scientific sense. The new man would be the antithesis of the Jew." (Sklar, p. 57-58) Nietzsche likewise considered the Christian Bible nearly worthless because of its Jewish origin: "In Christianity, seen as the art of sacred lying, we're back with Judaism.... The Christian is but a Jew of more liberal persuasion." (_Antichrist_, quoted in Angeberts, p.126) [Compare with the NA view of how Judaism "defiled" Christianity.] In this context, antisemitism was not a starting point for the inner Nazi society as it was for the masses; Jew-hatred was the inevitable result of absorbing these bedrock occult teachings.
The nurture of the new humanity included the need to "encourage the growth of a violent, domineering, intrepid, cruel youth... nothing weak or tender in it." (Angeberts, p.209, Rauschning quoting Hitler) This reached its climax in SS training, and it corresponded to the Nazi view of "pure" Gnostic, Hindu and Buddhist philosophy, which did not teach compassion and gentleness, but Aryan duty and honor above all (Angeberts, p.220-221). [This would seem confirmed by the presence of Tibetan Buddhists in Hitler's Berlin, as well as Bailey's prediction that Buddhism is destined to drop its image of gentle pacifism.]
But there was an obstacle to sweeping away the Jew and raising this cruel new generation, in the person of that "Jew of more liberal persuasion", the Bible-believing Christian. Knowing that Christian Germany would not easily accept an open return to paganism, Nazism attempted to wean the masses from standard Christianity by removing the Jewish-influenced "negative" parts, that is the Old Testament and most of the New Testament, imposing gnostic meanings on key passages, adding colorful pagan legend, and repackaging it in their 1920 platform as "positive Christianity" (Angeberts, p.202-203). [This term is freely used today by many groups, some of them fervent NAers offering the same package to naive Christians, for the same purpose.]
Hitler's vision of returning to "pure" pagan religion was echoed, or more accurately anticipated, by psychoanalyst Carl Jung in 1923: "We [Germans] need new foundations. We must dig down to the primitive in us, for only out of the conflict between civilized man and the Germanic barbarian will there come what we need: a new experience of God." (Sklar, p.134) When esotericist Jakov Wilhelm Hauer founded the Nordic Faith movment, Jung urged participation on the part of Germans who were "intelligent enough not only to believe but to know that the god of the Germans is Wotan and not the Christian God." ("Wotan", essay by Jung - emphasis his, quoted by Sklar, p.134) The Nazis reciprocated by making Jung President of the German Medical Society for Psychotherapy in 1933, at which time he finally found a forum from which to expound a belief he had held since 1918: the need to distinguish between "German" and "Jewish" psychology. (The Society's Dec. 1933 issue) In his view, such a distinction was not antisemitic, it was liberating for both Aryans and Jews. (Sklar 136-137) When the Jews were fleeing Nazi Germany in ever-increasing numbers, Jung advised his followers in England to keep up their "negative feelings" about Jews and resist allowing them to participate as colleagues, as he also did. [See further details about Jung in Harvard Professor Richard Noll's books.] As for the destruction being wreaked by the Nazis, Noll notes that Jung viewed them as the necessary precursors to the great "light", those whose task was to destroy to make "rebirth" possible. [Compare with Bailey's assessment below.] It took until 1945 for Jung to finally denounce the Nazi extermination of the Jews, but he never retracted his proposal for a "Germanic, Jew-free psychotherapy". (Sklar, p.138-139)
To remove the "bad seeds" of Christian (that is, Jewish) thinking, Nazi preparation of children for the new humanity would be diligent from cradle to grave, centered around the notion that they were born to die for their god, wmbodied in their Fuehrer. The education began with revised fairy tales teaching new-humanity principles of heroes struggling and dying to set their race free. Then group membership started at age 10, followed by continuous reinforcement in group settings for the remainder of their lives, "so that they shall in no case suffer a relapse, and they don't feel free again as long as they live," as Hitler bluntly put it. (Sklar, p.110) There was non-stop activity which required passive participation, allowing no time for reflection or discussion.
And what did Christian leaders think of Hitler? Although many Christians eventually bought into "positive Christianity", apparently there was enough opposition to necessitate an early purge of that community. Before launching his "final solution", Hitler made an effort to remove all churches and pastors who showed the least resistance to policies already in operation. For example, refusal by a church to sponsor a Hitler Youth chapter was sufficient grounds to close it down. Leaders whose integrity would not yield to political expediency, who could not be discredited by scandal, and who had the potential to influence Christians at large, were imprisoned indefinitely (Dietrich Bonnhoefer for example). Although Hitler did not close down many Catholic churches, especially where local support was strong, he vented his rage on Pope Pius XI, who had issued an encyclical condemning him as "a prophet of nothingness". ("Mit Brennender Sorge", March 14, 1937, translation posted by Paul Halsall of Fordham University) The Nazi government lodged a harsh protest with the Vatican shortly afterward (April 12, 1937 - see Georg May, _Kirchenkampf oder Katholikenverfolgung_, p.582). [I would suspect that the most damaging statements in "Mit Brennender Sorge" for the Nazis were those which exposed their "religious war" against the legacy of Judaism found in Christianity. Pius XI flatly equated Nazism with "aggressive paganism", condemned the removal of the Old Testament from churches and schools as an act of someone who "blasphemes the name of God", and reaffirmed the Jewish Bible as "sacred books" which "record the story of the chosen people, bearers of the Revelation and the Promise". The Catholic leader summarily rejected the anti-Jewish dogmas of "race and blood [and] the irradiations of a people's history" as "false coins [which] do not deserve Christian currency". See the end of the next entry, 2a, for related observations.]

3rd:
George Washington Masonic National Memorial Teachers Guide on Masons and Latin American History







History of the Masons 

The George Washington Masonic
National Memorial Association
Alexandria, Virginia 22301
683-2007

Instructional Unit:

The North American and South American independence leaders. The role of Freemason lodges and symbols.



Curriculum Unit: 

General, Spanish 

Grades 10, 11

Leaders of Latin America


Objectives:

At the end of the unit the students will be able to:

1. Understand some ideas shared by the great heroes in North America and South America.

2. Define Freemasonry and its internationalism.

3. Define the purpose and role of important lodges such as the Alexandria Lodge in the U.S. and the Lautaro Lodge in Argentina.

4. Understand the role and power of the Grand Master and relate it to the historic meeting between Don Jose de San Martin and Don Simon Bolivar, the two great heroes, where Bolivar asserted his power as a Grand Master over San Martin and asked him to retire to Argentina. Thus, changing the course of history.

5. Recognize Masonic symbols in the Seal of the United States and Washington D.C. monuments.

a. The pyramid with the eye of Osiris at the top of the U.S. dollar bill.

b. The eagle.

c. The obelisk.

d. Mason tools (silver trowel used by George Washington to lay the cornerstone of the U.S. Capitol). 

e.The written word. Either sacred books such as the Bible, Koran, Torah,or books of learning and science.

6. Compare language used in the Declaration of Independence to language used in similar documents in Latin America.

7. Trace the historical roots of Masonic ideas from Ancient Egypt, Persia, Jerusalem, the Middle Ages to contemporary times.

8. Identify prominent Masons in the United States, including U.S. Presidents, and Masons in Latin America.  TO BE CONTINUE!!