Saturday, June 30, 2012

Bob Junior kufunga ndoa Billicanas July Mosi......

Mwanamuziki na producer anayemiliki studio ya Sharobaro Records, Bob Junior aka Mr. Chocolate Flava, ameamua kufungua ndoa kwa style ya aina yake.
Amesema harusi yake itakayofanyika jumapili ya tarehe moja mwezi July mwaka huu, pamoja na kufanyika nyumbani itatinga ndani ya club ya Billicanas ambapo kila mtu anaruhusiwa kuhudhuria.
Rais huyo wa masharobaro amesema wiki hii atapanda boti hadi Zanzibar kwenda kumfuata ‘mwali’ ili aisaliti rasmi kambi maarufu ya makapela.
Bob Junior anayesifika kwa kukata ‘mauno’ kwenye video zake, amesema amechoka kuishi maisha ya ujana na sasa anahitaji kuwa na familia.
“Tunapiga show kila siku na kupata hela nyingi kwanini nisioe,” aliiambia 255 ya Clouds Fm jana.
Aliongeza kuwa dhumuni la kuamua kuoa ni kuepukana na vishawishi na maradhi kwakuwa watu maarufu kama yeye hujikuta wakitafutwa sana na wasichana.
Kila lakheri Bob Junior.

Wednesday, June 27, 2012

BELL9 NA BEN POL WATOA NYIMBO MPYA...

Nyimbo inaitwa ANAYEISHI NAE...its good sana find it and listenig it soon iwill keep it on my blog...THEY SHINE MEN...SAFI BELL9 NA BEN...great job!!!!

Mwana FA atangaza Vita na Wezi.....

“Next time nikikuta watu wanapiga mwizi na mtu akanizuia nisishiriki ntaanza na yeye kwanza” ni tweet ya Hamisi Mwinjuma aka MwanaFA iliyokuwa imeambatanishwa na picha ya gari lake lenye namba T 809 PMB ikiwa imenyofolewa taa zote za mbele na nyuma. Wizi huo umefanyika usiku wa tarehe 24june.. na inavyoekena ni kuwa wezi walipanda na kuvuka geti kimya kimya, kwa raha zao wakanyofoa taa na kuingia ndani kuchukua radio. Ile MwanaFA kuamka asubuhi ndo akakuta tayari wajanja wameshamliza kiasi cha kuamua kutangaza vita na wezi. Hivyo kama ukikuta MwanaFA anashiriki kumponda ‘vitofa’ mwizi aliyekamatwa street baada ya kuiba, kamwe usishangae, usimuulize na usimzuie sababu ataanza na wewe! Pole sana Binamu! Hata hivyo wezi hao hawaikuiharibu ratiba ya usiku wa kuamkia leo ya Binamu. Ratiba yake ilianzia pale the so-called ‘Uwanja wa taifa wa burudani’ Dar Live ambapo aliperform ngoma yake mpya Ameen kwa mara ya kwanza. Baada ya Dar Live show ikahamia Maisha Club, “Dar Live Done..Beautiful..Maishani Sasa Kwa Ndege Mnana,” alitweet. Huko New Maisha Club alienda kumpa support mwanadada Linah Sanga aliyekuwa akifanya show yake ya kwanza tangu arudi kutoka kwenye ziara ndefu ya nchini Marekani. “What a show..Maisha I Loooooooooved you tonite!” aliandika alfajiri hii.

Baada ya kupata mtoto,Mr. Blue aongeza speed kumalizia mjengo wake...

Wiki iliyopita msanii wa kizazi kipya, maarufu sana nchini Herry Sameer aka Mr.Blue alijaaliwa kupata mtoto wa kiume aliyezaa na mchumba wake Wahida Mohamed. Kwakuwa huyo ndio mtoto wa kwanza, Kabayser aliamua kumpa jina lake mwenyewe yaani ‘Herry’. Funny enough siku tumempigia siku kuconfirm habari za kupata mtoto na kumuuliza kajaaliwa mtoto wa jinsia gani, Blue alijibu, “Ni jembe mshikaji wangu!!” akimaanisha mtoto wa kiume. So baada ya kuongeza jina jingine halali mjini la ‘Baba Herry’, Mr Blue amesema inabidi aongezee kasi ya kumalizia mjengo wake anaoujenga jijini Dar es Salaam ili yeye,Mama Herry na Herry wakae kwa raha zao pamoja. Alivyoongea na East Africa Radio siku zilizopita, Kabayser amesema baada ya miaka miwili nyumba yake inaweza ikawa imekamilika. Kwa sasa Wahida na Mr. Blue kila mmoja anaishi nyumbani kwao. Katika hatua nyingine siku chache baada ya kupata mtoto msanii huyo alisema mtoto wake akikua hapendi afanye muziki kama yeye kwakuwa hapendi awe maarufu. “Mimi ningependa mwenyezi Mungu amjalie awe mtu fulani ambaye kidogo atakuwa hata kiongozi kusaidia watu,” alisema.

UNAJUA ALIYE MTOA DIAMOND????nani yuko nyuma ya mafanikio yake!!check out!!!

DIAMOND NA RUGE AKIMPA MAELEKEZO!!! Ulishajiuliza kwanini Diamond yuko smart sana kwa namna anavyozipeleka issue zake za muziki? Hushangai iweje msaniii huyu ambaye wengi walitegemea awe na elimu ya chuo kikuu ndio aweze kuufanya muziki kwa umaridadi mkubwa kiasi cha kutochuja kwa show zake japo zinajipanga kama mayai kwenye tray!
Well, wengi hili wanaweza kuwa wanalijua juu juu tu ama hawalijui kabisa kuwa the person behind Diamond’s music creativity is none other than Ruge Mutahaba!!
Yeah, habari ndio hiyo, hate it or love it.
Tangu show ya aina yake ya Diamonds Are Forever iliyowapa mkwanja mnene wa kuweka benki na kula bata, show ya Dar Live iliyompa sifa Diamond kwa kutua kwenye ‘Uwanja huo wa taifa wa burudani mpaka show ya Big Brother Stargame aliyoifanya mwaka huu. He (Ruge) was the mastermind!
Ameweza kumtengeneza Diamond kuwa bidhaa ya thamani isiyochuja.Hautakosea ukimwita Russell Simmons wa Tanzania. Kwa uzoefu alionao kupitia show zinazoandaliwa na kituo cha Clouds Fm, ameweza kuzijua ramani zote za kupitia ili kufanikiwa ‘kibiashara’ kwenye muziki wa Tanzania. He has the music map in the palm of his hands and never missed a shot!
Kuna mtu mmoja wa karibu sana na Diamond hivi karibuni ametuambia kuwa maandalizi ya show ya ‘Diamonds Are Forever ya pale Mlimani City yalichukua takribani wiki nzima. Ruge alikuwa akienda kila siku kuangalia maendeleo ya rehearsal and he was like, “mmh mmh! Hapo bado,ongezeni nguvu zaidi.”
Kwenye show ya hivi karibuni ya Miss Redds Tanzania huko Arusha, Ruge alionekana kwenye picha akimwelekeza Diamond namna ya kupiga kinanda na ngoma. Haijalishi kama anajua kupiga hivyo vitu ama la,hilo si suala letu, cha msingi ni kuwa ushauri wake unafanya kazi kwa Diamond.
And tell you what, hakuna mtu mwenye connection ya masuala ya muziki iwe ndani ya nchi ama nje kama Ruge! Hivyo kuchuja kwa Diamond katika ramani ya muziki wa kibiashara bado sana.

Ndani ya Mj-Recordz Diamond Akifanya Tangazo la Coca Cola...work hard man!!!GOOD!!!!...

Tuesday, June 19, 2012

MBUNGE WA UBUNGO...John Mnyika atolewa nje mbugeni leo..

KATIKA BUNGE LA BAJETI 2012/2013 katika mkutano wa nane katika hoja za serikali....
leo tarehe 19/6/2012 saa 12:00 mbunge wa ubungo john mnyika katika kuchangai maada alitoa kauli ya kusema "UDHAIFU WA RAIS KIKWETE", "UPUUZI NA UPUMBAVU WA WABUNGE/ NA WA CCM"katika kutoa hujo naibu spika aka muomba afute hyo kauli ila akasema hatoweza kufuta kwa kuwa anahoja ya kutete kuhusu hlo ila haikutosha waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu akismama na kusoma kifungu cha sheria ya bunge kuhusu maneno yaliyosemwa na john mnyika...ALL AT ALL mh mnyika akasimama na kusema kwel kauli yangu sitoi..ila naibu spika akasimama na kufuata sheria na kumtoa katika kikao cha bunge cha leo mpaka kesho saa tatu!!!
DAH....KWEL BUNGE LA SASA......NDIO BUNGE...TUPIA COMMENT IS IT RIGHT???

Monday, June 18, 2012

Bunge kuwaka moto wiki hii.......

MKUTANO wa nane wa Bunge la Jamhuri ya Muugano wa Tanzania unaingia katika wiki ya pili leo, huku kukiwa na kila dalili za kuwapo mjadala mkali wa hotuba ya bajeti iliyowasilishwa bungeni Alhamisi iliyopita na Waziri wa Fedha, Dk William Mgimwa.

Miongoni mwa mambo yanayotarajiwa kuiweka njiapanda Serikali ni suala la deni la taifa ambalo kwa mujibu wa bajeti iliyosomwa limefikia karibu Sh 20.3 trilioni Machi mwaka huu, kwani wabunge wanataka mchanganuo wa jinsi deni hilo lilivyofikia kiwango hicho.

Suala jingine ambalo linaweza kuzua mvutano ni kile wabunge wanachodai kuwa ni ukaidi wa Serikali kutosikiliza mawazo yao miaka nenda rudi kwa kutotenga fedha za kutosha kwa ajili ya maendeleo.

Katika bajeti yake ya 2012/2013, fedha za maendeleo zilizotengwa na Serikali ni asilimia 30, lakini wabunge wanataka kiwango hicho kiongezwe hadi asilimia 35 na matumizi ya kawaida yabakie 65.

Kadhalika bajeti hiyo, Serikali itakuwa na wakati mgumu kutokana na wabunge wengi kunusa ufisadi katika bajeti ya 2011/2012 kutokana na fedha kidogo zilizopelekwa katika wizara na idara za Serikali, ilhali taarifa za mapato ya nchi zikionyesha kwamba fedha nyingi zilikusanywa na Mamlaka ya Mapato (TRA) hadi asilimia 106.

Suala la kutokuwapo kwa uwiano kati ya mapato na matumizi ya Serikali, ndilo liliwasukuma baadhi ya wabunge wa CCM waliohudhuria kamati ya wabunge wa chama hicho Ijumaa iliyopita, kuibua hoja ya kutaka kuchunguzwa kwa mfuko mkuu wa Serikali kwa maelezo kwamba kuna dalili za kuwapo kwa ufisadi.

Uchambuzi rasmi wa bajeti hiyo utaanza kufanywa na Kamati ya Bunge ya Fedha na Uchumi kupitia maoni yake yanayotarajiwa kusomwa na Mwenyekiti wake, Andrew Chenge na kufuatiwa na Bajeti mbadala ya Kambi ya Upinzani, inayotarajiwa kuwasilishwa na Waziri Kivuli wa Fedha na Uchumi, Zitto Kabwe.

Chenge tayari alishasema kwamba, kamati yake imeelewana na Serikali kwa ahadi ya kurekebisha kasoro za kibajeti katika mwaka ujao wa fedha, lakini baadhi ya wabunge wa CCM katika kikao chao Ijumaa, waligeuka mbogo wakitaka marekebisho makubwa yafanywe.

Kadhalika baadhi ya wabunge hao wa CCM waliripotiwa kutohudhuria kikao hicho kukwepa kuwa sehemu ya makubaliano ambayo yangefikiwa na ‘kuwafunga midomo’ wakati wa kuchangia bajeti hiyo wiki hii.

Licha ya kutengwa fedha kidogo, pia wabunge kadhaa wa CCM na wale wa upinzani wanapinga matumizi makubwa ya Serikali na kupuuzwa kwa mpango wa Serikali wa kubana matumizi, hasa kupunguzwa safari za nje na za ndani za viongozi, kulipana posho, makongamano na mikutano.

Wakati wabunge wa CCM wakiendelea na mkutano wao Ijumaa, Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina alijitokeza mbele ya waandishi wa habari na kutangaza kwamba hataunga mkono bajeti hiyo na kwamba, yuko tayari kufukuzwa ndani ya CCM kutokana na hatua yake hiyo.

Hoja ya Mpina ni kutaka Serikali ifumue bajeti yake na aliahidi kwamba leo ataomba mwongozo wa Spika ili kutoa hoja ya kutaka bajeti isijadiliwe na badala yake Serikali ipate fursa ya kuifanyia marekebisho makubwa, ikiwa ni pamoja kuongezwa kwa fedha za miradi ya maendeleo kutoka asilimia 30 hadi 35 ya bajeti, pia kupunguzwa kwa matumizi yasiyo ya lazima.

Hoja hiyo ya kushauri bajeti kufumuliwa, pia ilijadiliwa katika kikao cha ndani cha wabunge wa CCM, ambapo Mbunge wa Mwibara, Alphaxard Lugola na Mbunge wa Kilindi, Beatrice Shelukindo, ambao waliungwa mkono na wabunge wengine kadhaa, walinukuliwa wakibainisha upungufu mkubwa uliopo ikiwa ni pamoja na fedha kidogo za miradi ya maendeleo.

Katika kikao hicho, pia wabunge hao, walieleza kutoridhishwa na utekelezwaji wa bajeti katika wizara nne, kutokana na kutengewa fedha kidogo, lakini miradi kutotekelezwa kwa wakati kama ambavyo ilikusudiwa.

Wizara ambazo zilitajwa ni pamoja na Nishati na Madini, Uchukuzi, Wizara ya Kilimo Chakula na Ushirika na Wizara ya maji.

“Katika Wizara ya Nishati na Madini kuna miradi ambayo ilipaswa kutekelezwa badala yake, wakati wa kipindi hiki cha mwisho cha maandalizi ya bajeti, zimekwenda kuwekwa nguzo tu, ili kuonyesha kuanza kwa miradi….Sasa jambo kama hili halifai,” Lugola alinukuliwa akisema ndani ya kikao hicho.

Kutokana na umuhimu wa mjadala wa bajeti, tayari wabunge kadhaa walishajiorodhesha kuchangia mjadala hata kabla ya bajeti kusomwa, lakini Naibu Spika, Job Ndugai alisema wiki jana kuwa kanuni za Bunge zinaruhusu wabunge kujiorodhesha kuchangia baada ya kusomwa bajeti.

THE HISTORY OF FREEMASON!!!!

1st: The Destruction of Kosovo's Churchs

they said that freemson is not a secret society but is the society of secret......

2nd:
Nazism and The New Age, Hitler and the Occult







Nazism and the New Age
While most Jews are sure that Hitler represented the Christian community, his associates knew better. In this section we see not only that Hitler rejected Christianity, but that there is also ample research showing that Hitler founded far more than a political regime - the Third Reich was an occult-based religious movement to usher in the same New Age examined in this series. [For documentation besides the Angeberts, see also D. Sklar, _The Nazis and the Occult_; Joseph Carr, _The Twisted Cross_; Robert G.L. Waite, _The Psychopathic God - Adolf Hitler_; Gerald Suster, _Adolf Hitler, The Occult Messiah_; Trevor Ravenscroft, _The Spear of Destiny_.]
The Nazi President of the Danzig Senate, Hermann Rauschning (who defected to the Allies and in 1939 wrote the book quoted above), recorded statements made by Hitler which are unintelligible except from a NA orientation. [The fact that Rauschning included quotes which he admitted he did not understand only adds to the credibility of his testimony, for these often turn out to be occultic references of the kind meant to be understood by fellow-initiates alone.]
[One of the best sources I have seen is the Angeberts' book quoted above. The strength of their work is ironically due to their positive attitude toward the occult: it appears they rather admire the "Ancient Wisdom" as expressed in Gnosticism, Catharism and other esoteric movements, and they trace its threads through history with nostalgia as well as academic interest. Their far-ranging documentation allows them to conclusively show that Nazism was/is an initiation into the classical Gnostic "path of enlightenment", but unlike me the authors do not fault the "Ancient Wisdom" itself for the infamous results. On the contrary, "the prime lesson to be learned is that the practice of occultism and magic is fraught with danger and, therefore, not to be entrusted to just anyone." (p.160) This book is valuable for its uninhibited look at the many movements and occultists - including unlikely names like Plato, Nietzsche, Goethe and Pythagorus - who shared Hitler's dream of the Holy Grail and a new-age return of the ancient Hyperborean godmen with their "sacred sciences". The English publisher is MacMillan (1974), McGraw-Hill (1975) in paperback.]
Hitler turned against Christianity from his early teens and sought his destiny in the occult. He later joined with associates who also embraced those teachings, and together they built a state guided by the same occultic principles and goals repeated in today's NA. And no wonder, because he drew on the same esoteric sources as the NAers of today. [How have so many scholars overlooked this all-important key to understanding the Nazi mentality? In the words of the Angeberts' English translator, Lewis A.M. Sumberg, nearly all historians missed the "militant neo-Paganism" and "Gnostic racism" in Nazism "because they have brought conventional outlooks and methodologies to their examination of an unconventional phenomenon." (_The Occult and the Third Reich_, p.x) We must either re-assess the Nazi philosophy with these roots exposed, or be forced to settle for theories which fail to completely explain Nazi priorities. Its unconventional nature lay in "magic thought allied to science and know-how" (Angeberts, p.179) - exactly the hybrid being encouraged today by NA leaders like Peter Russell. Sumberg's observation in 1974 about this blind spot among historians fell mostly on deaf ears, which makes it more difficult now - but more urgent than ever - to recognize that not only is Nazism not dead, we are now surrounded by a "kinder, gentler" version of the same philosophy, sprouted from the same roots and having the same priorities.]
1. Hitler and the Occult
According to available sources (see above), Hitler first made contact in 1909 with other occultists, the first of these being Goerg Lanz von Lieberfels and Guido von List, after coming across their occultic-racist magazine _Ostara_ in Vienna. (Sklar, p.5. For samples of the typical copy published in _Ostara_, and how Hitler later echoes it, see p.17-22) Besides his publishing activities, Lanz was known for starting a society called the "Order of New Templars" which imitated the traditions of occultic Grail lore. (Angeberts, p.237) Lanz would later claim credit for influencing Nazi ideology - a claim which has some merit considering that one of his books was found in Hitler's personal library (now archived in the Library of Congress in Washington, DC). As for List, he founded the "Armanen", a Germanic pagan priestly order which apparently accepted Hitler into their brotherhood; evidence is in another occultic book from Hitler's library bearing an inscription from a comrade to Adolf, "my dear Armanen brother." (Sklar, p.48) Books by List were found stamped with the insignia of the SS Ahnenerbe (the Nazi Ancestral Research division), indicating that his teachings were studied by SS candidates. (As an aside, Angeberts note that the documents dealing with the Ahnenerbe itself, which they identify as "the Nazi Occult Bureau", are listed in the U.S. National Archives but for some reason are not available to researchers - p.259-260) Both Lanz and List were obsessed with blood purity, the Jewish threat, Grail legends and a "new world order". Both embraced the swastika as a central symbol, borrowing it from Hindu mysticism. [see comments below]
By 1913, Adolf had passed the novice stage in his occult pursuits. (Carr, p.95) In 1918 (age 29) he claimed to hear voices announcing that he was "selected by God to be Germany's messiah" (Carr, p.36); later he made contact with an "ascended master" whom he identified as Lucifer or "the beast from the pit". He eventually became convinced he was the reincarnation of Woden (or, Woton). At some point, he discovered two German occultists who eloquently expressed his own understanding of Aryan religion and destiny: Richard Wagner [details later] and Friedrich Nietzsche. These influenced Nazi thought so heavily that the authors of _The Occult and the Third Reich_ name them as "the two prime initiators of the Third Reich", (p.119) and devote two entire chapters to documenting this claim. To these can be added a third, who lived before Hitler and tried to weld Wagnerian and Nietzschean thought into one work: the British occultist Houston Stewart Chamberlain, who wrote in his epic _Foundations of the Nineteenth Century_ (1900): "Every Mystic is, whether he will or not, a born Anti-Semite." (Sklar, p.11)
Another occultist to influence Hitler's thinking was Dr. Karl Haushofer, who was introduced to Hitler in 1924 while the latter was in Landsberg prison. Haushofer, a Blavatsky disciple, combined a dubious "science" called "geopolitics" with Eastern mystical texts and _The Secret Doctrine_ principles, and claimed to have clairvoyant powers. It was Haushofer who schooled Hitler in _The Secret Doctrine_. (Carr, p.93) His geopolitical theories found their way into _Mein Kampf_. (Sklar, p.62) It was also Haushofer who forged Hitler's alliance with Japan basing his case on astrological predictions (Sklar, p.69), and who gave him the "Lebensraum" concept. As the Nazi conquest advanced, Haushofer applied his theories through prophecies which overruled the military leadership in directing troop movements. (Sklar, p.69) Besides Hitler, Haushofer had other prominent disciples: Rudolf Hess, later to become Hitler's secretary; and Anton LaVey, who gained notoriety in later years for his promotion of Satanism. LaVey dedicated his work _The Satanic Bible_ in part to "Karl Haushofer, a teacher without a classroom." (Sklar, p.63) Haushofer's fortunes fell, however, when his son Albrecht conspired in the 1944 coup against Hitler and was arrested; father Karl was sent to Dachau.
Hitler, like today's NA philosophers, firmly believed in the coming of a new species of humanity. Like modern New Agers, he expected them to be a literal "mutation" of homo sapiens, achieved by arriving at "higher levels of consciousness". He also believed that the new humanity would be free of "the dirty and degrading chimera called conscience and morality," as well as "the burden of free will" and "personal responsibility" which should rightly be borne only by the few with the fortitude to make the awful decisions necessary for the good of humanity. (Sklar, p.58)
Hitler's associate, Bernhard Forster (who happened to be Nietzsche's brother-in-law) related to Hermann Rauschning how Hitler had proclaimed that he "would bring the world a new religion,... the blessed consciousness of eternal life in union with the great universal life... when the time came. Hitler would be the first to achieve what Christianity was meant to have been, [without] any fear of death [or] the fear of a so-called bad conscience. Hitler would restore men to the self-confident divinity with which nature had endowed them." Forster then added his own opinion: "He drew his great power from intercourse with the eternal divine nature." (Sklar, p.54-55) [The reader should note the familiar "cosmic consciousness" vocabulary here, more appropriate to the founder of a religion than to a political schemer.]
The Nazi sacred symbols and concepts - the swastika or "gamma cross", the eagle, the red/black/white color scheme, and ancient Nordic runes (one of which became the insignia of the SS ) - were all adopted from occult traditions going back centuries, shared by Brahmins, Scottish Masons, Rosicrucians, Manichaeans and others. (Angeberts give detailed histories, p.194-200) The Nazi motto, "One Reich, One Folk, One Fuehrer", reflected the standard 3-fold power circles of the occult. (See a good example in Bailey's _Discipleship in the New Age_ II, p.165, where the Great Invocation is to be explained on three distinct levels.) The Reich was the psychic adepts of the Nazi Party, which would build the bridge between the Folk (the masses which unite into a cosmic Entity greater than its parts) and the Fuehrer (the initiates in the elite leadership which unite with Hitler, the divine incarnation). The outer fringe, the Folk, are taught what they can handle: blind obedience, group service, a new history and identity. The Party elite such as the SS are taught something different: psychic knowledge, tapping into the "Vril Force", self-denial, brotherhood mission, medieval lore, fearlessness of death. The innermost circle was privy to the hard-core Gnostic teaching on the Grail, immortality and godhood. Many neo-Nazi groups continue to pursue these topics with devotion. But under it all was the invisible presence of "Unknown Superiors" (Angeberts, p.178, quoting Rudolf Olden, _Hitler the Pawn_, written 1936. Rauschning used the same term - p.233) who taught Hitler himself and who were assumed by his associates to endow him with his uncanny hypnotic power.
Concerning Hitler's relationship with these Unknowns, there is not much known besides his reference to a guiding voice of "Providence". However, we do have a vivid account related by an unnamed associate of Hitler to Rauschning (both were not sure what to make of it), in which Hitler wakes up in the middle of the night in total panic at some unseen visitation: "Hitler was standing there in his bedroom, stumbling about, looking around him with a distraught look. He was muttering: 'It's him! It's him! He's here!' His lips had turned blue. He was dripping with sweat. Suddenly he uttered some numbers which made no sense, then some words, then bits of sentences. It was frightening. He used terms which were strung together in the strangest way and which were absolutely weird. Then, he again became silent, although his lips continued to move. He was given a massage and something to drink. Then all of a sudden, he screamed: 'There! Over there! In the corner! Who is it?' He was jumping up and down, and he was howling." (Rauschning, p.285-286) [Whatever the reader may conclude about the Unknown Superiors, whether a figment of a sick mind or real entities, please remember that both Nazi cosmology and NA religion view(ed) them as real and independent beings - and also as extensions of one's own untapped divinity. No provision is made in either system for the possibility of ascended beings who first seduce their channels and then torment them. Yet stories similar to the above are not uncommon in NA circles. From those who leave the New Age after such an experience, the verdict is uniform: the Guides are clever deceivers with evil motives. For those who stay, the solution is to blame oneself for the "bad trip" and blindly dive in deeper; this was apparently Hitler's choice.]
Hitler's personal devotion to occult principles was proven ultimately by his self-inflicted death. His choice of April 30 for his suicide may well have been meant as a sacrifice; it was the eve of Beltane (known in Germany as Walpurgisnacht), identified on popular Wiccan websites as a Druid feast in honor of the deity Bel. In witchcraft, this "power-point" day is regarded as a "great sabbat" equal in potency to Halloween. According to Wiccans, Bel is derived from the Canaanite Baal; but Helena Blavatsky goes farther in _The Secret Doctrine_ (vol.2), reconstructing an astrological trinity of Bel/Baal (sun-god, father), Christos (Mercury, son) and Lucifer (Venus, holy spirit). [more on the Lucifer connection in "Gods of the New Age"] As for Hitler's suicide itself, this was not a cowardly act from an occultist viewpoint, but rather an honorable practice known among the Druids, as well as among the Cathari "Perfects", those medieval guardians of the Grail, who called it the rite of "Endura". A curious requirement of the "Endura" was that it was always to be done by pairs of intimate friends, a detail known by the Nazis (Angeberts p.28) which makes sense of Hitler's joint suicide with his new wife Eva Braun. Incidently, Hitler's associates Karl Haushofer and Goebbels also killed themselves in ceremonial fashion along with their wives. (Angeberts, p.275, note 11)
2. Hitler and Christianity
Not only did Hitler regard Christianity as a defective, failed enterprise, he saw himself as replacing both its God and its Christ. At one of the huge Nuremberg rallies hung a gigantic poster of himself, with the caption stolen from the Christian gospel of John: "In the beginning was the Word." German youth were indoctrinated from infancy to pray to Hitler, who they were taught was sent from heaven to protect them. (Sklar, p.56) Nazi-approved sermons in German churches proclaimed, "Adolf Hitler is the voice of Jesus Christ." And lest some readers [especially Jews] should conclude from this that Nazi Christians viewed Hitler as the mouthpiece of the New Testament Jesus, the statement is clarified to leave no doubt: "If Jehovah has lost all meaning for us Germans, the same must be said of Jesus Christ, his son.... He [Jesus] certainly lacks those characteristics which he would require to be a true German. Indeed, he is as disappointing, if we read the record carefully, as is his father [the G-d of Israel according to Christian tradition]." ("What the Christian Does Not Know About Christianity", quoted by Sklar, p.56)
In Hitler's words, Christianity "only added the seeds of decadence such as forgiveness, self-abnegation, weakness, false humility and the very denial of the evolutionary laws of survival of the fittest [social Darwinism]," and would obviously be a handicap to the new species which he was personally commissioned by the "masters" to see properly birthed and nurtured. But Hitler perceptively placed the ultimate blame where it is due: "Conscience is a Jewish invention. It is a blemish, like circumcision.... There is no such thing as truth, either in the moral or in the scientific sense. The new man would be the antithesis of the Jew." (Sklar, p. 57-58) Nietzsche likewise considered the Christian Bible nearly worthless because of its Jewish origin: "In Christianity, seen as the art of sacred lying, we're back with Judaism.... The Christian is but a Jew of more liberal persuasion." (_Antichrist_, quoted in Angeberts, p.126) [Compare with the NA view of how Judaism "defiled" Christianity.] In this context, antisemitism was not a starting point for the inner Nazi society as it was for the masses; Jew-hatred was the inevitable result of absorbing these bedrock occult teachings.
The nurture of the new humanity included the need to "encourage the growth of a violent, domineering, intrepid, cruel youth... nothing weak or tender in it." (Angeberts, p.209, Rauschning quoting Hitler) This reached its climax in SS training, and it corresponded to the Nazi view of "pure" Gnostic, Hindu and Buddhist philosophy, which did not teach compassion and gentleness, but Aryan duty and honor above all (Angeberts, p.220-221). [This would seem confirmed by the presence of Tibetan Buddhists in Hitler's Berlin, as well as Bailey's prediction that Buddhism is destined to drop its image of gentle pacifism.]
But there was an obstacle to sweeping away the Jew and raising this cruel new generation, in the person of that "Jew of more liberal persuasion", the Bible-believing Christian. Knowing that Christian Germany would not easily accept an open return to paganism, Nazism attempted to wean the masses from standard Christianity by removing the Jewish-influenced "negative" parts, that is the Old Testament and most of the New Testament, imposing gnostic meanings on key passages, adding colorful pagan legend, and repackaging it in their 1920 platform as "positive Christianity" (Angeberts, p.202-203). [This term is freely used today by many groups, some of them fervent NAers offering the same package to naive Christians, for the same purpose.]
Hitler's vision of returning to "pure" pagan religion was echoed, or more accurately anticipated, by psychoanalyst Carl Jung in 1923: "We [Germans] need new foundations. We must dig down to the primitive in us, for only out of the conflict between civilized man and the Germanic barbarian will there come what we need: a new experience of God." (Sklar, p.134) When esotericist Jakov Wilhelm Hauer founded the Nordic Faith movment, Jung urged participation on the part of Germans who were "intelligent enough not only to believe but to know that the god of the Germans is Wotan and not the Christian God." ("Wotan", essay by Jung - emphasis his, quoted by Sklar, p.134) The Nazis reciprocated by making Jung President of the German Medical Society for Psychotherapy in 1933, at which time he finally found a forum from which to expound a belief he had held since 1918: the need to distinguish between "German" and "Jewish" psychology. (The Society's Dec. 1933 issue) In his view, such a distinction was not antisemitic, it was liberating for both Aryans and Jews. (Sklar 136-137) When the Jews were fleeing Nazi Germany in ever-increasing numbers, Jung advised his followers in England to keep up their "negative feelings" about Jews and resist allowing them to participate as colleagues, as he also did. [See further details about Jung in Harvard Professor Richard Noll's books.] As for the destruction being wreaked by the Nazis, Noll notes that Jung viewed them as the necessary precursors to the great "light", those whose task was to destroy to make "rebirth" possible. [Compare with Bailey's assessment below.] It took until 1945 for Jung to finally denounce the Nazi extermination of the Jews, but he never retracted his proposal for a "Germanic, Jew-free psychotherapy". (Sklar, p.138-139)
To remove the "bad seeds" of Christian (that is, Jewish) thinking, Nazi preparation of children for the new humanity would be diligent from cradle to grave, centered around the notion that they were born to die for their god, wmbodied in their Fuehrer. The education began with revised fairy tales teaching new-humanity principles of heroes struggling and dying to set their race free. Then group membership started at age 10, followed by continuous reinforcement in group settings for the remainder of their lives, "so that they shall in no case suffer a relapse, and they don't feel free again as long as they live," as Hitler bluntly put it. (Sklar, p.110) There was non-stop activity which required passive participation, allowing no time for reflection or discussion.
And what did Christian leaders think of Hitler? Although many Christians eventually bought into "positive Christianity", apparently there was enough opposition to necessitate an early purge of that community. Before launching his "final solution", Hitler made an effort to remove all churches and pastors who showed the least resistance to policies already in operation. For example, refusal by a church to sponsor a Hitler Youth chapter was sufficient grounds to close it down. Leaders whose integrity would not yield to political expediency, who could not be discredited by scandal, and who had the potential to influence Christians at large, were imprisoned indefinitely (Dietrich Bonnhoefer for example). Although Hitler did not close down many Catholic churches, especially where local support was strong, he vented his rage on Pope Pius XI, who had issued an encyclical condemning him as "a prophet of nothingness". ("Mit Brennender Sorge", March 14, 1937, translation posted by Paul Halsall of Fordham University) The Nazi government lodged a harsh protest with the Vatican shortly afterward (April 12, 1937 - see Georg May, _Kirchenkampf oder Katholikenverfolgung_, p.582). [I would suspect that the most damaging statements in "Mit Brennender Sorge" for the Nazis were those which exposed their "religious war" against the legacy of Judaism found in Christianity. Pius XI flatly equated Nazism with "aggressive paganism", condemned the removal of the Old Testament from churches and schools as an act of someone who "blasphemes the name of God", and reaffirmed the Jewish Bible as "sacred books" which "record the story of the chosen people, bearers of the Revelation and the Promise". The Catholic leader summarily rejected the anti-Jewish dogmas of "race and blood [and] the irradiations of a people's history" as "false coins [which] do not deserve Christian currency". See the end of the next entry, 2a, for related observations.]

3rd:
George Washington Masonic National Memorial Teachers Guide on Masons and Latin American History







History of the Masons 

The George Washington Masonic
National Memorial Association
Alexandria, Virginia 22301
683-2007

Instructional Unit:

The North American and South American independence leaders. The role of Freemason lodges and symbols.



Curriculum Unit: 

General, Spanish 

Grades 10, 11

Leaders of Latin America


Objectives:

At the end of the unit the students will be able to:

1. Understand some ideas shared by the great heroes in North America and South America.

2. Define Freemasonry and its internationalism.

3. Define the purpose and role of important lodges such as the Alexandria Lodge in the U.S. and the Lautaro Lodge in Argentina.

4. Understand the role and power of the Grand Master and relate it to the historic meeting between Don Jose de San Martin and Don Simon Bolivar, the two great heroes, where Bolivar asserted his power as a Grand Master over San Martin and asked him to retire to Argentina. Thus, changing the course of history.

5. Recognize Masonic symbols in the Seal of the United States and Washington D.C. monuments.

a. The pyramid with the eye of Osiris at the top of the U.S. dollar bill.

b. The eagle.

c. The obelisk.

d. Mason tools (silver trowel used by George Washington to lay the cornerstone of the U.S. Capitol). 

e.The written word. Either sacred books such as the Bible, Koran, Torah,or books of learning and science.

6. Compare language used in the Declaration of Independence to language used in similar documents in Latin America.

7. Trace the historical roots of Masonic ideas from Ancient Egypt, Persia, Jerusalem, the Middle Ages to contemporary times.

8. Identify prominent Masons in the United States, including U.S. Presidents, and Masons in Latin America.  TO BE CONTINUE!!

Sunday, June 17, 2012

BEST WISHEZ TO ALL STUDENTS OF SAINT AUGUSTINE UNIVERSITY OF TANZANIA!!!!leo lazima ukaeeeeeeee!!

leo tarehe 18/6/2012..chuo cha SAUT mjini mwanza wanaanza mithiani ya kumaliza mwaka...dnt panic relax and god will help u,,remember that..NEVER SAY NEVER...AND DONT SAY U CAN NOT TRY AND WORK ON IT...as fresh as milk...good luck ma fans of SAUT...and among the one!!!!

Ufisadi watikisa UDOM.......


  Ada Bodi ya Mikopo zadaiwa kutafunwa.......

Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kwa kushirikiana na benki moja mjini hapa kinadaiwa kujihusisha na ufisadi wa kutafuna ada za wanafunzi wanaolipiwa na Bodi ya Mikopo (Heslb).

Wanafunzi wanaolipiwa ada na bodi hiyo walilalamika kupitia gazeti hili kuwa wamegundua ufisadi huo wakati walipofika chuoni hapo kuchukua vyeti vya shahada baada ya kuhitimu chuoni hapo mwaka jana.

Kwa ujanja huo wanadai wanalipa ada licha ya kwamba bodi imewalipia hivyo kuwaneemesha mafisadi wachache waliobuni mpango huo wa kujitajirisha.

Walidai kuwa licha ya kulipiwa ada na Heslb na wao kulipia kiasi cha asilimia walizopangiwa wanalazimishwa kulipa tena ada kwa maelezo kuwa hakuna rekodi zinazoonyesha kuwa walilipiwa ada na bodi. Hata hivyo, uongozi wa chuo cha Dodoma umepinga madai yao.

“Tulichogundua ni kwamba bodi imetulipia mikopo lakini UDOM ama taarifa zimefichwa, au zimepotezwa kwa makusudi ili kutulipisha mara mbili. Tumefuatilia bodi lakini nako wanatuambia tumewalipia chuo kimechakachua,” alisema mwanafunzi aliyeathirika, jina linahifadhiwa.

Walidai kuwa baada ya kuchunguza walibaini kuwa pesa hizo zimepokelewa UDOM lakini ujanja unafanywa kwa kushirikiana na wafanyakazi wa benki moja (jina tunalo) ambao hupitisha fedha hizo na kufuta rekodi za waliolipiwa chuoni ili kuharibu ushahidi wa taarifa za malipo.

Walidai kuwa ujanja wa kula fedha za wanafunzi unafanywa kwa kila idara na kozi ambapo malipo hufanywa kwa kuruka simesta (muhula) mmoja mmoja kwa takribani kila mwanafunzi ili kuwachanganya wanafunzi ambao wanakosa pa kuanzia.

Wanafunzi hao walitoa nakala ya Meneja wa Kanda wa Heslb , Chikira Jahari ya Juni 11, 2012 iliyotoa taarifa za mikopo yao kulipwa na bodi lakini walipofika chuoni waliambiwa hawajalipiwa.

“Hata tuliporudi bodi tulikosa msaada maana tuliambiwa pesa zimewasilishwa UDOM ambako nako tuliambiwa bodi haijalipia,” alidai mwanafunzi aliyeathirika.

Akitoa ufafanuzi, Makamu Mkuu wa Chuo anayeshughulikia taaluma chuoni hapo, Profesa Ludovick Kinabo, alipinga madai yao kwa maelezo kuwa wanaolalamika ni wale waliochukua pesa za bodi lakini hawataki kulipa ada.

Alisema madai ya kuficha taarifa za mikopo ya wanafunzi si ya kweli kwani ukaguzi wa ndani umefanyika lakini haukubaini kukosekana kwa taarifa hizo za fedha.

Aliwataka wanafunzi hao kuacha kuficha ukweli kwani baadhi yao wanataka kuchukua vyeti bila ya kulipa ada jambo ambalo chuo hakiwezi kulikubali.

Wanafunzi hao walituhumu uongozi wa chuo kuwa umejaa udini na siasa na kwamba kuna urasimu unaokwamisha maendeleo ya taaluma hadi uendeshaji wa shughuli za kila siku. Walitaka Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Serikali kufuatilia ufisadi chuoni hapo.

Pia walikilaumu chuo kwa kufukuza wanafunzi wanaodaiwa kuwa walikishabikia chama kimoja cha siasa. Walidai kuwa siku ya tukio wanafunzi hao walikodi mabasi kwenda kusikiliza hotuba za viongozi wa chama hicho, lakini magari hayo yalilazimishwa kwenda ofisi za utawala chuoni hapo kukaguliwa.

“Magari yalipofika utawala uongozi ulichukua vitambulisho vya wanafunzi na kuorodhesha majina kisha kuwafukuza wote kwa kutumia sababu mbalimbali zilizotungwa na uongozi,” alidai mwanafunzi mmoja.

NIPASHE iliwasiliana na Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi, Philipo Mulugo, ambaye aliahidi kufuatilia suala la bodi ya mikopo na kulitolea ufafanuzi.....

MWANAFUNZI WA CHUO KIKUU ATUMA UJUMBE WA KUAGA FACEBOOK KISHA AJINYONGA!DAAH...

Ama kweli Facebook imeleta mambo duniani! Yaani mtu unataka kujiua unakumbuka kwamba kuna Facebook,unaingia,una-Log in,unatuma Post then Una-Log out,unaenda unajiua!Hii ni kali ya Mwaka!

Mwanafunzi huyu,mpaka sasa haieleweki nini hasa ni chanzo kilichosababisha exactly ajiue lakini kuna element kwamba kuna shida flani aliipata akiwa chuoni na kuna maneno yalisemwa dhid yake na hakuyapenda,akaamua kufikia uamuzi wa kuukatisha uhai wake kwa Kamba kwenye mti wa Mwembe kijijini kwao,Ipaja mjini Lagos!

Jina lake kamili ni Ayodeji Balogun,Mwanafunzi wa Chuo Kikuu kinachoitwa National Open University mjini Lagos ambacho ni equivalent na Open University of Tanzania (OUT),kwa hapa kwetu.

HUYU NDO JAMAA MWENYEWE ALIYESUSIA UHAI WAKE KISA AMESEMWA CHUONI..MKUBWA KWELI ILA DAH Kinachonishangaza mimi sio uamuzi wake wa kujiua...Watu wengi wanajiua kwa sababu mbalimbali,ILA,style yake ya kujiua... Yaani kweli unajiua unakumbuka Kupost Status,Facebook...Whats on your Mind??/Unaandika Goodbye to you all mi najiua,duh,kweli Izraili mtoa roho nae ameanza kupenda teknolojia. CHEKI STATUS ALIYOPOST JIONI YA JANA KABLA HAJAJITOA ROHO KWENYE MTI WA MWEMBE! MSOMI KABISAAA WA CHUO KIKUU!

KITANDA CHENYE UWEZO WA KUJITANDIKA CHENYEWE KWA WALE WAVIVU TUSIOPENDA KUTANDIKA VITANDA ASUBUHI...

Najua hii inawagusa watu wengi tu...Na hata mimi inanigusa kwa namna moja au nyingine!

wengi wetu tukikurupuka asubuhi huwa tumechelewa na tunaona kama kutandika Kitanda tunazidi kuchelewa tunaacha kiko shaghalabaghala,bila kutandika!

Kama kawaida yao Wazungu,wanajua tu kutengeneza pesa kwa kutumia madhaifu ya watu

Wametengeneza kitanda chenye mashine maalum ambayo ina uwezo wa kusense kwamba sasa mtu ameamka na inaanza kutengeneza Kitanda automatic.

Na jamaa wameweka Mechanism,Mashine hiyo haiwezi kufanya kazi kukiwa na mtu amelala,ila sekunde 5 tu baada ya wewe kuamka, Ile Mashine itasense kwamba sasa mtu ameamka,inatengeneza Kitanda.USIPIME KABISA,mzungu noma!

CHEKI MZIGO WENYEWE HUO:HAPA NI PALE UMEKURUPUKA

HALAFU CHEKI HAPA MASHINE ISHAKUFANYIA KAZI AFTER 5 MINUTES