Wednesday, May 30, 2012

Sugu (Mbunge) Kutoa Kutoa Barudani Dar Live Jumapili Hii

Mwanamuziki mkongwe wa Hip Hop nchini Joseph Mbilinyi aka ‘M II’ au ‘Sugu’ amethibitisha kuwa siku ya Jumapili ijayo (Juni 3) atatoa shoo ya nguvu ndani ya Ukumbi wa Taifa wa Burudani wa Dar Live huko Mbagala, jijini Dar es Salaam

No comments:

Post a Comment